Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,405
- 6,281
Huyo mtoto ni wakuchomwa mdomo.
Sent From Galaxy S9
Sent From Galaxy S9
Hahha mkuu mtoto sio mnafiki amesema alichokionaHuyo mtoto ni wakuchomwa mdomo.
Sent From Galaxy S9
Mtoto wa hivyo akiachiwa atapeleka wazazi wake polisi.Hahha mkuu mtoto sio mnafiki amesema alichokiona
Kwhy ingekua mtoto wako ungemfanya nn mkuu.Mtoto wa hivyo akiachiwa atapeleka wazazi wake polisi.
Sent From Galaxy S9
Kwanini umtaje mtoto hapo,katika udadisi wako?Mkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
Huyu amekutusi,ky ni kilainish nichotumika kwa wale mashoga yaaani unapaka uko nyuma kisha unaingiza MASHINE hakuna maumivu wala nnTo maelezo mkuu
Huko uliko huna kimada au mke mwingine?Mkuu we acha tu Hawa wanawake,yaan hapa nilipo nawaza sana leo ni ciku ya Saba bado nawaza tu na sjafanya chochote
Hivi Sakayo umeolewa? Kama bado basi hesabu umenipataHayo ndo madude gani kuyaendekeza mpaka ulete mwanaume ndani?! Tuache kusingizia hayo madude, mwanamke hajielewi!
Niko kwenye hatua za mwisho mkuu za kuingia hukoo!
Ubarikiwe jamani Mungu akuongoze uweze kutimiza vyemaNiko kwenye hatua za mwisho mkuu za kuingia hukoo!
Asante sana jamani, Mungu akupe wa kufanana nawe Mkuu!
Aimenn aimennn dear!! Tubarikiwe sote jamani!