Inaonekana hata majambazi na wakianzisha jumuia yao dunia itawatetea

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,494
Katika ulimwengu wa Wanaomuamini Mungu na Makatazo yake, Dawa ya Dhambi ni kukemewa na kuachwa(Tubu) hakuna option ya kuivumilia. Ni 1988 taasisi ya wapenzi wa (jinsia moja ilianziswa japo inaonekana vuguvugu lilianza zamani ) USA lakini spidi ya hii taasisi inavunja hadi milango ya Nyumba za sala na kukubalika au kutetewa na makanisa,makampuni,taasisi, mataifa etc. Hakuna Taasisi Duniani inayosaidia kupunguza vuguvugu hili zaidi dunia nzima inasalimu amri taratibu ila kwa uhakika.
Ni majuzi tu kijana mmoja wa Nigeria alifungiwa Account yake ya Facebook kwa kosa la kuukosoa ushoga na kutoa Hisia zake juu ya huu mwelekeo wa maisha(Ikumbukwe mwanzilishi mmoja wa mtandao huu ni mwanandoa wa jinsia moja).

Najiuliza, Hivi ni rahisi kuhalalisha uovu kwa kutengeneza Jumuia/Taasisi. Mfano kumbe hata majambazi/wakifanikiwa kutengeneza jumuia yao na wakawa na msemaji wao duniani hata makanisa/mataifa/jamii yatahalalisha au yatasema wavumiliwe.


najaribu kutafakari...
 
Ni kweli hakuna chama kinachokosa wafuasi, watatetewa tu na wanao watetea, na hasa kwa mtazamo wa majambazi wanapambana na serikali, wanasahau walikotoka wamemdhuru mtu binafsi. Kama yule Dada mrembo waliemulia nyumbani kwake tena chumbani kwake, na kumuachia yule mtoto, kumbukumbu mbaya katika maisha yake yote. Dah ngoja kwanza niishie hapa, maana nikikumbuka yule mtoto alivyokua amekumbatia picha ya marehemu mama yake, aina ya kifo cha mama yake, nafikilia na familia za wale waliochinjwa hali zao zikoje, aah Mungu twakuomba utunusuru mabaya.
 
Mkuu unaambiwa siku hizi kinachopandwa kwenye changalawe huota haraka kuliko kile kinachopandwa kwenye udongo. Siku hizi Uovu unapata support kubwa kila kona ya dunia.
 
Katika ulimwengu wa Wanaomuamini Mungu na Makatazo yake, Dawa ya Dhambi ni kukemewa na kuachwa(Tubu) hakuna option ya kuivumilia. Ni 1988 taasisi ya wapenzi wa (jinsia moja ilianziswa japo inaonekana vuguvugu lilianza zamani ) USA lakini spidi ya hii taasisi inavunja hadi milango ya Nyumba za sala na kukubalika au kutetewa na makanisa,makampuni,taasisi, mataifa etc. Hakuna Taasisi Duniani inayosaidia kupunguza vuguvugu hili zaidi dunia nzima inasalimu amri taratibu ila kwa uhakika.
Ni majuzi tu kijana mmoja wa Nigeria alifungiwa Account yake ya Facebook kwa kosa la kuukosoa ushoga na kutoa Hisia zake juu ya huu mwelekeo wa maisha(Ikumbukwe mwanzilishi mmoja wa mtandao huu ni mwanandoa wa jinsia moja).

Najiuliza, Hivi ni rahisi kuhalalisha uovu kwa kutengeneza Jumuia/Taasisi. Mfano kumbe hata majambazi/wakifanikiwa kutengeneza jumuia yao na wakawa na msemaji wao duniani hata makanisa/mataifa/jamii yatahalalisha au yatasema wavumiliwe.


najaribu kutafakari...
Majambazi wanatetewa tayari katika mfumo wa utawala wa sheria.

Ndiyo maana kuna mawakili kuhakikisha majambazi wanapata haki zao.

Wewe umelala chini ya dongo gani?
 
Mkuu unaambiwa siku hizi kinachopandwa kwenye changalawe huota haraka kuliko kile kinachopandwa kwenye udongo. Siku hizi Uovu unapata support kubwa kila kona ya dunia.

shetani kaamua atawale na shetani anajua Mungu aliumba mwanamke na mwanaume ili watengeneze family. Mungu anataka familia takatifu na watt walelewe kwa familia. ila shetani katuingilia kahakikisha kwamba vitendo viovu kama ndoa za wenza wengi, jinsia moja, mtu anaamua ktafuta watt bila baba, kuvuruga ndoa za watu yote hayo ni kazi shetani na anafurahiankweli coz anaanza kupata ushindi siku hizi ndoa si za maana tena angalia idadi ya fatherless childrenn inavyoanza kuongezrka angalia kila mtu anaona heri awe nyumba ndogo ili atunzwe kulko aolewe. shetani katuvuruga kweli kweli na siku ya hukumu atakaa pembeni akitucheka wafuasi wake.
 
Ndio maana sina Dini
Dini haina uhusiano na haya chief.
Ni kama nyumba yako aingie nyoka uhame alafu useme Ndio maana sina Nyumba.
Tunatakiwa tukoteke kwenye level ya Dini kwenda kwenye level ya personal relationship na Muumba(Kama unaamini).
Nje ya hapo ni ubatili na kujilisha upepo
 
shetani kaamua atawale na shetani anajua Mungu aliumba mwanamke na mwanaume ili watengeneze family. Mungu anataka familia takatifu na watt walelewe kwa familia. ila shetani katuingilia kahakikisha kwamba vitendo viovu kama ndoa za wenza wengi, jinsia moja, mtu anaamua ktafuta watt bila baba, kuvuruga ndoa za watu yote hayo ni kazi shetani na anafurahiankweli coz anaanza kupata ushindi siku hizi ndoa si za maana tena angalia idadi ya fatherless childrenn inavyoanza kuongezrka angalia kila mtu anaona heri awe nyumba ndogo ili atunzwe kulko aolewe. shetani katuvuruga kweli kweli na siku ya hukumu atakaa pembeni akitucheka wafuasi wake.
Yuko hatua za mwishomwisho, ndio maana anaspeed kali ya mashambulizi kuliko washambuliwaji
 
Ndio maana sina Dini
hongera mkuu ungana na huyu jamaa siku hizi mwenzio anaabudu jua maisha yanakwenda hahaha MFALME SULEIMAN
afande_sele4.jpg
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom