Inaonekana chanzo cha yote haya ni Wabunge wa CCM kutoielewa Katiba ya JMT. Hakuna Rais wa mpito, Samia ni hadi 2030!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,845
141,768
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.

Wanajua na wengi tunajua lakini ni maksudi kwa agenda zao.
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
Chama Cha Mazezeta
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
Kwani we ulimsikia anasema Rais niwa mpito ni nan? Mi ndiyo kwanza namsikia Samia mweyewe!

Kwenye katiba kuna rais atakaemalizia kipindi kilichobaki ili neno nimelisikia kwa Polepole na ndivyo katiba inasema.
 
"kwa mujibu wa Katiba... kwa mujibu wa Katiba... kwa mujibu wa Katiba"

Bwashee acha kuishia kutaja neno 'katiba' tu. Taja na Ibara husika za Katiba ili kusupport hoja yako kwa evidence.

-Kaveli-
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
Hapo zote mbili ni Katiba za CCM za mwaka 1977.
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
Hapo zote mbili ni Katiba za CCM za mwaka 1977.
 
Wabunge wa CCM kila siku hujidai kuijua vilivyo Katiba ya JMT na mara zote wanasema ni nzuri haina mapungufu, kumbe kiukweli hawaielewi kabisa.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT Rais Samia ni Rais kamili na ataruhusiwa kugombea tena 2025 kwa ajili ya muhula wake wa pili.

Na kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 na marekebisho yake upo utamaduni ambapo Rais ni lazima atumikie mihula yote miwili ili akamilishe maono yake.

Sasa hawa wabunge wa CCM hili swala la Rais wa mpito wamelitoa wapi?

Mungu wa mbinguni awasamehe bure.
Ndugu wa Marehemu mimi naendelea kusisitiza mwendelee kuvuana nguo tuone maboksa yenu machafu, Mburukenge kabisa nyie!
 
Back
Top Bottom