Inaniuma sana lakini nitafanyaje, inabidi niwe mnafiki tu

Huyo siyo shangazi yake. Ni mama yake - ama mdogo ama mkubwa. Shangazi yake ni dada yake baba yake. Uzungu wa nini hapa Tanzania?
soma mada vizuri uelewe huyo dogo ni BINAMU yake ni mtoto wa mjombaake ambaye huyo mjombaake yaani babaake huyo dogo ni baba mmoja mamammoja na mamaake
na kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwa wameishi vizuri mno kiasi hapa mjiini watu hudhani ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja kumbe ni mtu na binamu yake

tukirudi kwenye mada wengi hawawezi kukuelewa wengine watakuita mmbey na majina mengi nk
ila mm nimekuelewa kwanza unampenda mdogo wako na mnaelewa sana kiasi mmekuwa kama marafiki wakubwa kiasi mkikutana story haziishi
lkn huyo mwanamke kwanza kaharibu ule umoja wenu urafiki na pia umeangalia mbali mni 7bu huyo dogo akipata matatizo yoyote wewe ndio utakuwa mshuulikaji wa kwanza na pengine hata kukucost pesa hata muda pia
na jambo lingine unampenda mno mdogo wako wako afanikiwe lkn kila ukimuangalia huyo mwanamke wake unagundua fika anarudisha nyuma maendeleo ya ndugu yako hilo nalo linakuumiza mno

ni km mdau mmoja alivyosema hapo kwa levo ya mapenzi alipofikia dogo huwezi kufanya chochote akakuelewa unless mpk huyo dogo apigwe na kitu kizito sana mpk apoteze fahamu kisha azinduke ndio akili itamkaa sawa
kwakuwa wewe ni bro record tu matukio tu kisha yahifadhi ipo siku atakufuata nwenyewe na kuanza kulalamika sasa wewe hapo ndo utaanza kumpa fulldose ya matukio yote ya huyo demu kisha utamuacha mwenyewe aamue
hvyo kwa sasa wewe muangalie tu anavyorukaruka
 
Acha kila mtu apambane na familia yake mshirikiane kupeana pole tu yanapo bumburuka
 
soma mada vizuri uelewe huyo dogo ni BINAMU yake ni mtoto wa mjombaake ambaye huyo mjombaake yaani babaake huyo dogo ni baba mmoja mamammoja na mamaake
na kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwa wameishi vizuri mno kiasi hapa mjiini watu hudhani ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja kumbe ni mtu na binamu yake

tukirudi kwenye mada wengi hawawezi kukuelewa wengine watakuita mmbey na majina mengi nk
ila mm nimekuelewa kwanza unampenda mdogo wako na mnaelewa sana kiasi mmekuwa kama marafiki wakubwa kiasi mkikutana story haziishi
lkn huyo mwanamke kwanza kaharibu ule umoja wenu urafiki na pia umeangalia mbali mni 7bu huyo dogo akipata matatizo yoyote wewe ndio utakuwa mshuulikaji wa kwanza na pengine hata kukucost pesa hata muda pia
na jambo lingine unampenda mno mdogo wako wako afanikiwe lkn kila ukimuangalia huyo mwanamke wake unagundua fika anarudisha nyuma maendeleo ya ndugu yako hilo nalo linakuumiza mno

ni km mdau mmoja alivyosema hapo kwa levo ya mapenzi alipofikia dogo huwezi kufanya chochote akakuelewa unless mpk huyo dogo apigwe na kitu kizito sana mpk apoteze fahamu kisha azinduke ndio akili itamkaa sawa
kwakuwa wewe ni bro record tu matukio tu kisha yahifadhi ipo siku atakufuata nwenyewe na kuanza kulalamika sasa wewe hapo ndo utaanza kumpa fulldose ya matukio yote ya huyo demu kisha utamuacha mwenyewe aamue
hvyo kwa sasa wewe muangalie tu anavyorukaruka
Nadhani wew ndo mtu ulioelewa huu uzi kuliko mtu mwingine yoyote,umevaa viatu vyangu umeelewa situation yangu, yaan imefikia hatua dogo akinambia amepigika anataka hela ya kula nampa lakini naumia nikiwaza tunaenda kulisha mwanamke anaegongwa ovyo

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi n upofu,kunaa dem alikuwa anafanya kz na wachina mwisho wa cku akakulana na mchinaa akabebaa mimbaa ,dem alikuwa na boy wakee wanakaanaye dem akamwambia boy wake ana mimbaa jamaa wala hakubisha akaleaa maana c n mtu wanakaa naye ,aiseeeee mtt kuja kuzaliwaa mchina huyu hapa kbs tenaa wakikee n mzuri huyoo mtt tz hkn semaa c wa mtu maarufu tu lkn n mzuri, lakini jamaa jamaa analeaa vzr tu na maisha na dem wakee yanasongaa mchinaa ashasepaga zakee baada ya kumalizaa ujenzi wa daraja,,,
 
Nina mdogo wangu mtoto wa mjomba yangu tumbo moja na Mama angu, huyu dogo nimekua nae kama mdogo wangu tumbo moja na jamii inajua tumezaliwa pamoja, kwa uku mjini tunaish mtaa mmoja

Shida inakuja dogo alipata demu mmoja ivi lakini cjui walikutana wapi demu mwenyewe wa singida nilijaribu kumuuliza alimpata wapi hajanijib mpk leo

Wakati wanaanza mahusiano dogo alinambia demu wake kwao maisha safi na stori kibao wakati huo dogo yupo kwao, mara gafla demu akaja dar dogo akanambia demu amefunguliwa duka na wazazi wake apa mjini mara dogo akachange stor akasema demu ana taaluma ya computer kaajiriwa kwenye shule flani km secretary lkn katika mizunguuko yote hyo dogo akanunua vitu vya ndani akalipa Kodi akamuweka demu akae umo ili iwe rahis kula mzigo

Mara demu akapata ujauzito akajifungua mtoto ikawa bahati mbaya, cku ya mazishi ya kichanga ndo mambo yakaanza kua wazi hakuna hata ndugu mmoja wa demu aliekuepo isipokua sisi upande wa kiumeni tu nikamuuliza dogo mbona wakwe wako hmn hata mmoja wala simu ya kuwapeni pole wala mtu wa kumfutilia huyu mwanamke vipi

Baadae demu akaja kukiri kwa dogo kua kwao hamna kitu maisha magumu inshot stor zoote alizompa dogo kwa mara ya kwanza ilikua uongo na visa vingi vingi saana, nikamshauri dogo ampige chini dogo akaelewa mkakakati ukawa dogo amwachie chumba aendelee na maisha yake likapita Hilo kumbe dogo akawa anaenda kwa Siri penzi likarud upyaaa.wakarudiana mwisho teena wakazinguana wakapigana saana nikaitwa kwnda kuwaamulia nikampka saana dogo nikamwambia c tulikubaliana uachane na huyu demu dogo akakir nisamehe brother yakaisha dogo akahamia tena kwa demu hapo demu tangu ajifungue hana kazi dogo ndo akawa analipa Kodi na kutoa pesa ya kula

Dogo akarudi tena kwa demu Safari hii hajaniambia chochote tukionana anakimbia kimbia kunikwepa hatimae demu akabeba mimba nyingine nikajua dogo kayakanyaga demu msumbufu ivi azae nae c majanga haya baas bhana demu akawa mimba imekua kama ugonjwa kila siku hospital akipimwa hakuna ugonjwa dogo akawa anateketeza pesa tu.

Siku ya siku tukaenda kijijini kwetu tukamkuta mama angu ambae kwake ni shangazi lkn km mama yake akamwambia mama kuhusu habari za ujauzito wa demu wake Mimi nikaanza kumchana dogo mbele ya bi mkubwa kuhusu mapungufu ya demu na jinsi anavomkost dogo nae akawaka bi mkubwa akaniwakia saana kwann nimchagulie mwenzangu mke wakat mimi cjachaguliwa na mtu,nikakaa kimya

Kimbembe kinakuja demu kajifungua mtoto hafanani na dogo hata kidogo kafanana na jamaa mmoja mtaani kwetu inasemekana huyo jamaa alikua anamla demu watu mtaani wananambia mdogo wako kaibiwa dogo ndo hasikii na kwa hili la demu kuliwa cjamwambia na kuhusu mtoto kufanan na mtu mtaani cjamwambia dogo haoni wala hasikii

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mademu wa Singida wahuni na washirikina, huyo hatoki niamini hamuachi hata mfanye nini utapata ubaya wew. Kashapigwa na kitu kizito, hamuachi huyo!
 
Usirudi kuwaambia wanaopendana waachane...

Unamtreat dogo utadhani wewe na mkeo mnaishi kama malaika.

Mtu mzima anaambiwa mara 1, the rest, mwache ajionee.
 
Back
Top Bottom