Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,494
- 7,206
soma mada vizuri uelewe huyo dogo ni BINAMU yake ni mtoto wa mjombaake ambaye huyo mjombaake yaani babaake huyo dogo ni baba mmoja mamammoja na mamaakeHuyo siyo shangazi yake. Ni mama yake - ama mdogo ama mkubwa. Shangazi yake ni dada yake baba yake. Uzungu wa nini hapa Tanzania?
na kwa mujibu wa maelezo yake ni kuwa wameishi vizuri mno kiasi hapa mjiini watu hudhani ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja kumbe ni mtu na binamu yake
tukirudi kwenye mada wengi hawawezi kukuelewa wengine watakuita mmbey na majina mengi nk
ila mm nimekuelewa kwanza unampenda mdogo wako na mnaelewa sana kiasi mmekuwa kama marafiki wakubwa kiasi mkikutana story haziishi
lkn huyo mwanamke kwanza kaharibu ule umoja wenu urafiki na pia umeangalia mbali mni 7bu huyo dogo akipata matatizo yoyote wewe ndio utakuwa mshuulikaji wa kwanza na pengine hata kukucost pesa hata muda pia
na jambo lingine unampenda mno mdogo wako wako afanikiwe lkn kila ukimuangalia huyo mwanamke wake unagundua fika anarudisha nyuma maendeleo ya ndugu yako hilo nalo linakuumiza mno
ni km mdau mmoja alivyosema hapo kwa levo ya mapenzi alipofikia dogo huwezi kufanya chochote akakuelewa unless mpk huyo dogo apigwe na kitu kizito sana mpk apoteze fahamu kisha azinduke ndio akili itamkaa sawa
kwakuwa wewe ni bro record tu matukio tu kisha yahifadhi ipo siku atakufuata nwenyewe na kuanza kulalamika sasa wewe hapo ndo utaanza kumpa fulldose ya matukio yote ya huyo demu kisha utamuacha mwenyewe aamue
hvyo kwa sasa wewe muangalie tu anavyorukaruka