Inamaana Tanzania nzima hakuna mtu anayeweza kuwa Senior Accountant mpaka akatafutwe India?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,486
12,580
Kwema wakuu
Kuna hili tangazo nimekutana nalo huko linkedin, kampuni iko Tanzania inatafuta Senior accountant, lakini cha ajabu ni kama wanataka mhindi tena direct from India.My concern ni kwamba ,hapa Tanzania amekosekana mzawa anayeweza kuwa Senior accountant kwenye hiyo kampuni mpaka wakaokoteze huko India?
Sheria za vibali vya ajira kwa wageni zinasemaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20220626-125200_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20220626-125200_Opera Mini.jpg
    91.4 KB · Views: 18
Kwema wakuu
Kuna hili tangazo nimekutana nalo huko linkedin, kampuni iko Tanzania inatafuta Senior accountant, lakini cha ajabu ni kama wanataka mhindi tena direct from India.My concern ni kwamba ,hapa Tanzania amekosekana mzawa anayeweza kuwa Senior accountant kwenye hiyo kampuni mpaka wakaokoteze huko India?
Sheria za vibali vya ajira kwa wageni zinasemaje?
Private hua hawapangiwagi chakuajiri....ukiona ivyo ujue watanzania wengi kwenye usimamizi wa fedha tuna shida
 
Kwema wakuu
Kuna hili tangazo nimekutana nalo huko linkedin, kampuni iko Tanzania inatafuta Senior accountant, lakini cha ajabu ni kama wanataka mhindi tena direct from India.My concern ni kwamba ,hapa Tanzania amekosekana mzawa anayeweza kuwa Senior accountant kwenye hiyo kampuni mpaka wakaokoteze huko India?
Sheria za vibali vya ajira kwa wageni zinasemaje?
Mimi nadhani hoja ya msingi ni kutafuta chanzo cha kwanini wachukue wahasibu nje wakati ndani tunao..

1. Wabongo wengi kwenye swala la ela huwa tuna shida sana.. upigaji mwingi na uzembe.

2. Makampuni mengi ya nje ni nadra sana kumkuta mbongo kwenye top positions mara nyingi ni kama njia ya kupeana suport wao kwa wao lakini pia ni kutokana na matatizo yetu wabongo hasa kwenye uaminifu na pesa..
 
Kwema wakuu
Kuna hili tangazo nimekutana nalo huko linkedin, kampuni iko Tanzania inatafuta Senior accountant, lakini cha ajabu ni kama wanataka mhindi tena direct from India.My concern ni kwamba ,hapa Tanzania amekosekana mzawa anayeweza kuwa Senior accountant kwenye hiyo kampuni mpaka wakaokoteze huko India?
Sheria za vibali vya ajira kwa wageni zinasemaje?
Halafu wanakuja humu hwa viazi huko wanajiita experts , too bad wengi wao wanafundishwa kazi na wabongo huko makazini , halafu wanapewa benefits na mishahara mikubwa ambayo hata wabongo hawanusi hata nusu .

Nchi ya ovyo Sana
 
Mimi nadhani hoja ya msingi ni kutafuta chanzo cha kwanini wachukue wahasibu nje wakati ndani tunao..

1. Wabongo wengi kwenye swala la ela huwa tuna shida sana.. upigaji mwingi na uzembe.

2. Makampuni mengi ya nje ni nadra sana kumkuta mbongo kwenye top positions mara nyingi ni kama njia ya kupeana suport wao kwa wao lakini pia ni kutokana na matatizo yetu wabongo hasa kwenye uaminifu na pesa..
Ni mambo ya ovyo , Tanzania ni ndio kuna Huu uboya , nenda kafungue biashara au kampuni hapo Kenya Tu uone ni lazima top positions wawepo wazawa Ila Sisi Sheria ziko too loose na zisizofocus kuwanufaisha raia ,kila nchi wanaangalia maslahi ya raia wao si tumezubaa Tu kama mazoba
 
Nyie mlosema wabongo ni wezi.
Huko mlikoajiriwa na nyie mnaiba sana ama!!?.

Hapo mi nadhani sababu kuu ni hiyo kua wanapena wao kwa wao, hich ni cheo cha juu katika kampuni wengi hula na wa kwao.
 
Kampuni nyingi zinafanya hivyo, ma senior wengi kutoka nje alafu vyeo vingine ndiyo wazawa...
 
Hivi hujapataga kazi bado??? Uliletaga uzi wa kwenda kwa mganga ili upate kazi ikawaje?
Nikaona umechaguliwa sijui sales manager.
You really are struggling,Mungu akuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom