Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Jana baada ya kutoka kwenye kuwajibika as usual nikafika zangu home kama kawaida umeme ukawa umekatika. Baada ya umeme kurudi basi nikakumbuka nilinunua gazeti la Mwananchi. Katika kupitia kurasa kwa kurasa, ndio nikakutana na hili tangazo la TANESCO. Sasa nikajiuliza, inamaana huu mgao tunaoulalamikia kila siku umeme haupo mchana na usiku, hawa jamaa hauwahusu ??
:behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa:
:behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa: