Inakuwaje wanafunzi wanafeli hesabu wanafaulu physics na chemistry

Wengine hawana kipawa Cha kufundisha hilo SoMo sema njaa tuu ndiyo inawalazimu wabebe jukumu la kufundisha hilo SoMo matokeo yake wanafunzi hawawaelewi
 
Mkuu itakua ulifeli hesebu shuleni (samahani kama nimemukwaza)

Hiyo data imwekwa katika %. Maana yake, ili kupata asilimia ya ufaulu wa somo husika unachukua idadi ya waliofaulu somo hilo unagawa kwa idadi wa waliofanya mtihani husika.
Physics na chemistry inaonekana na % kubwa ya ufaulu kwasababu wanaofanya mitihani ya masomo haya ni wale wa mchepuo wa sayansi pekee (denominator inakua ni ndogo) wakati mtihani wa hesabu unafanywa na michepuo yote (sayansi, biashara, sanaa, kilimo nk) hivyo denominator inakua kubwa
Tangulia dukani kwa mangi bwashee,kachukue chochote uachokitaka nakuja kulipa. Naona wale wabishi wa vijiweni watakuwa wameshaelewa vizuri ufafanuzi uliotoa.
 
Shukrani mkuu hua naamini kuwa PHYSICS ndio mziki mnene mara tatu ya Mathematics waliosoma A level PCM, PGM na PCB wanalijua hili Hahahaa.
Upo sahihi mkuu, Mathematics by itself is just a foundation it does nothing. Ila sasa hayo masomo yanayoaply Hesabu lazima uombe poo.
 
Nakumbuka nilipokua highschool wanafunzi wa PCB walikua hawapendi basic mathematics. Halikua major subject kwao. Hawakutakiwa kufaulu sana, mradi tu asipate F. Ilikua those times 1990s sijui kwa sasa.
Aisee, kumbe hadi high school kuna basic mathematics!!
 
Kwa hiyo wakijibu maugoro wapewe tu maksi? Nani kakuambia mitego ya pysics na ya hesabu zinafanana wee kilaza?

Swali la pysics huwa lina sehemu mbili sehemu ya kwanza ni maelezo ya theory kama archimedes principle, Newton laws ,faradays law etc na sehemu ya pili huwa ni calculation ambazo ni simple zinazoendana na principle uliyoitaja.

Hutokea na mara nyingi ndivyo ilivyo mtu akawa amemeza principles zote na akazipata akijumuisha na baadhi ya calculations ambazo ni simple akama ukutafuta upthrust , mechanical advantage , velocity au voltage mtu anatoboa

Lakini hesabu mfumo wake ni tofauti huwa ni viswali ambavyo ni application ya formular fulani ambavyo wanategea vimitego fulani hivyo kama huijui ku derive formula husika au ubongo wako ni one way traffic na sio MULT SECTORAL unaingia chaka na kulikosa swali zima
Ubongo one way traffic
 
hesabu ina wenyewe ata ivo elimu yetu watoto wengi walio bright wanasoma sience na ndo wanaofaulu hesabu ko lazma % ya ufaulu iwe ndogo maana hesabu ata wasiozipenda wanasoma tofauti na chem na phy wanasoma wanao elewa tu
 
Mimi nilifaulu chemistry hesabu nikapata fa fa fa, mara nyingi waalimu wahesabu huwa hawajui kufundisha tofauti na walimu wa physics na chemistry
Hii ina ukweli mkuu, nakumbuka kipindi niko form three aliletwa mwal wa physics skuli aisee yule mwamba alikua haeleweki kabisa, alifanya phys kua ngumu hatari.

Lakini hiyohiyo form three mwishon akaletwa mwingine baada ya yule kusepa, huyu wa sasa alikua anaeleweka na akatupiga brush zile topics za yule mwamba, mpaka mnaona mbna km somo rahisi hivi kwani ilikuaje.

Kuna shida mahali kuhusu walimu wa hesabu.
 
Hii ina ukweli mkuu, nakumbuka kipindi niko form three aliletwa mwal wa physics skuli aisee yule mwamba alikua haeleweki kabisa, alifanya phys kua ngumu hatari.

Lakini hiyohiyo form three mwishon akaletwa mwingine baada ya yule kusepa, huyu wa sasa alikua anaeleweka na akatupiga brush zile topics za yule mwamba, mpaka mnaona mbna km somo rahisi hivi kwani ilikuaje.

Kuna shida mahali kuhusu walimu wa hesabu.
walimu wenyewe wa hesabu wengi vilaza
 
Mimi niliscore D Phy C chem na hesabu nikapiga Mswaki(F) .Kwengine ilikuwa rahisi coz calculations zake simple na kuna Maswali ya kudefine na briefly explanation vilevile practicals zina beba mno .
 
Hesabu hainaga kukariri shida inaanzia hapo hesabu unatakiwa kuielewa na kutumia akili maana ukibadilishiwa kidogo tu hujui hata unaanzia wapi
Haswaaa!!! Yaani kwa mtu anayekariri leo utamsovia swali lenye squire root vizuri na atasema amelielewa, Ila kesho kwenye mtihani akikutana na cube root tayari chali haelewi tena.
 
Hatuna walimu wazuri wa Hesabu nchini hilo linajulikana hata hao wasahihisaji nao hawajui hesabu vizuri...
 
Haswaaa!!! Yaani kwa mtu anayekariri leo utamsovia swali lenye squire root vizuri na atasema amelielewa, Ila kesho kwenye mtihani akikutana na cube root tayari chali haelewi tena.
kabisaa
 
Mkuu itakua ulifeli hesebu shuleni (samahani kama nimemukwaza)

Hiyo data imwekwa katika %. Maana yake, ili kupata asilimia ya ufaulu wa somo husika unachukua idadi ya waliofaulu somo hilo unagawa kwa idadi wa waliofanya mtihani husika.
Physics na chemistry inaonekana na % kubwa ya ufaulu kwasababu wanaofanya mitihani ya masomo haya ni wale wa mchepuo wa sayansi pekee (denominator inakua ni ndogo) wakati mtihani wa hesabu unafanywa na michepuo yote (sayansi, biashara, sanaa, kilimo nk) hivyo denominator inakua kubwa
Umesema yote
 
Back
Top Bottom