Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,129
- 16,194
michepuo karibia yote inafanya hesabu lkn si michepuo yote inafanya masomo mengine.
Kufaulu kemia sio kuwa mkemia mkuuInakuwaje mwanafunzi anafeli hesabu halafu anakuja kufaulu chemistry na physics ,kumbe Tanzania kuna wakemia wengi aisee sikulijua hili wanafunzi wamepiga kemia jaman halafu hesabu kama kawaida chaliiiView attachment 2083593
Kwa iyo walimu wa hesabu tuu ndio wakali ??Sababu kubwa ya kufeli ni waalimu wengi wa hesabu kudhani ukali ndio kuwaelewesha wanafunzi. Matokeo yakr wanafunzi huishia kuwaogopa na hivo kuondoa umakini wakati wa kufundishwa. Hata shule zenye waalimu wa hesabu bado ufaulu hauridhishi hivyo sababu ya uchache wa waalimu haiwezi kuwa na uzito kusudiwa.
Asilimia kubwa ya waalimu wa hesabu ndio huogopeka shuleni. Unadhani ni kwasababu ya nini? Ulishamuona mwalimu wa history anaogopeka kuliko mwalimu wa hesabu?Kwa iyo walimu wa hesabu tuu ndio wakali ??
Kwamba Physics na Chemistry ni social studies??? Yereuwiiiiiii!!!Sababu masomo mengi ni yanahusu social skills za kijamii tofauti na science, kwenye social Kuna Hadi masomo ya governance, leadership na mambo ya gender
Kweny Hesabu ni Issue ya Numbers tu lakn physics na chemistry utapat hat definition ya what is physicsInakuwaje mwanafunzi anafeli hesabu halafu anakuja kufaulu chemistry na physics ,kumbe Tanzania kuna wakemia wengi aisee sikulijua hili wanafunzi wamepiga kemia jaman halafu hesabu kama kawaida chaliiiView attachment 2083593
Kwa hiyo wakijibu maugoro wapewe tu maksi? Nani kakuambia mitego ya pysics na ya hesabu zinafanana wee kilaza?
Swali la pysics huwa lina sehemu mbili sehemu ya kwanza ni maelezo ya theory kama archimedes principle, Newton laws ,faradays law etc na sehemu ya pili huwa ni calculation ambazo ni simple zinazoendana na principle uliyoitaja.
Hutokea na mara nyingi ndivyo ilivyo mtu akawa amemeza principles zote na akazipata akijumuisha na baadhi ya calculations ambazo ni simple akama ukutafuta upthrust , mechanical advantage , velocity au voltage mtu anatoboa
Lakini hesabu mfumo wake ni tofauti huwa ni viswali ambavyo ni application ya formular fulani ambavyo wanategea vimitego fulani hivyo kama huijui ku derive formula husika au ubongo wako ni one way traffic na sio MULT SECTORAL unaingia chaka na kulikosa swali zima
Nakuunga mkono uko sahihi kabisa.
na advanced maths?Wanao dhani mathematics ni ngumu pengine hawaifahamu advanced physics