Inakuwaje wanafunzi wanafeli hesabu wanafaulu physics na chemistry

Unashindwaje kupata hata D . Au uliamka vibaya siku ya paper?
Nilichukia hesabu mwalimu alikuwa mkorofi alikuwa anashusha vipindo heavy sana na hivi wavulana walikuwa wakorofi Yani ikifika siku ya kipindi chake nakonda kwa mawazo ila chemistry, biology nilikuwa nafaulu hatari ila vile hesabu na huyo teacher nika focus tu na arts yangu sikutaka kujichosha
 
Nilichukia hesabu mwalimu alikuwa mkorofi alikuwa anashusha vipindo heavy sana na hivi wavulana walikuwa wakorofi Yani ikifika siku ya kipindi chake nakonda kwa mawazo ila chemistry, biology nilikuwa nafaulu hatari ila vile hesabu na huyo teacher nika focus tu na arts yangu sikutaka kujichosha
Hivi arts kwa kiswahili ni Sanaa?
 
Ulikuwa wafanya mazoezi ya hesabu masaa mangapi kwa siku
Nilikuwa sijichoshi mkuu kabisa ingawa hesabu ni SoMo rahisi kuliko yote ila lilinitoka tu moyoni Yani, na unfortunately hesabu haikimbiwi kila corner iko
 
Inakuwaje mwanafunzi anafeli hesabu halafu anakuja kufaulu chemistry na physics ,kumbe Tanzania kuna wakemia wengi aisee sikulijua hili wanafunzi wamepiga kemia jaman halafu hesabu kama kawaida chaliiiView attachment 2083593
Hapo lazima kuna namna,,,
Miaka 40 nyuma tulikua tunamaliza primary,, basi watoto wa wakubwa kama kesho yake mtihani, usiku tukakusanyika kwa kibosile fulani kusubiri mtihani uje,
Ubaya siku ile haukuja,, nilifell vibaya sana
 
Hapo lazima kuna namna,,,
Miaka 40 nyuma tulikua tunamaliza primary,, basi watoto wa wakubwa kama kesho yake mtihani, usiku tukakusanyika kwa kibosile fulani kusubiri mtihani uje,
Ubaya siku ile haukuja,, nilifell vibaya sana
Duh
 
Inakuwaje mwanafunzi anafeli hesabu halafu anakuja kufaulu chemistry na physics ,kumbe Tanzania kuna wakemia wengi aisee sikulijua hili wanafunzi wamepiga kemia jaman halafu hesabu kama kawaida chaliiiView attachment 2083593
Nilishangazwa na mtoto wa masomo ya arts nilimwambia afanye na biolojia akafaulu na kuanguka some la biashara. Sasa nilipomdadisi kumbe hana hata maabra walifanya mtihani wa vitendo bila mabarsa yaani ya kupewa maelezo na unajibu .ni kitu gani nk
 
Nilishangazwa na mtoto wa masomo ya arts nilimwambia afanye na biolojia akafaulu na kuanguka some la biashara. Sasa nilipomdadisi kumbe hana hata maabra walifanya mtihani wa vitendo bila mabarsa yaani ya kupewa maelezo na unajibu .ni kitu gani nk
Dadekiii
 
Mi naona kwasabu masomo mengine yana maekez unaweza kukariri tofauti na hesabu paper nzima n hesab No even a definition
Hesabu hainaga kukariri shida inaanzia hapo hesabu unatakiwa kuielewa na kutumia akili maana ukibadilishiwa kidogo tu hujui hata unaanzia wapi
 
Back
Top Bottom