lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,593
- 5,203
- Thread starter
- #21
walimu changamoto kwa kwelSababu kubwa ya kufeli ni waalimu wengi wa hesabu kudhani ukali ndio kuwaelewesha wanafunzi. Matokeo yakr wanafunzi huishia kuwaogopa na hivo kuondoa umakini wakati wa kufundishwa. Hata shule zenye waalimu wa hesabu bado ufaulu hauridhishi hivyo sababu ya uchache wa waalimu haiwezi kuwa na uzito kusudiwa.