Nimemlipia mtoto ada ya shule kwa muhula mzima ,ikiwa ni pamoja na tuition fee,usafiri,chakula na accomodation.Baada ya wiki tatu shule inafungwa na hapo hapo mtoto anarudi na invoice nyingine ukitakiwa kulipia tena ada nyingine kwa muhula ujao.Sasa mm swali langu ni kwa nini wahusika hawakufanya mahesabu angalau kupunguza ile sehemu ya usafiri kwa term inayofuata ? Naomba kuwasilisha