Homeboy255
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 202
- 80
- Thread starter
- #61
Huu ni uongo .. unaruhusiwa kulipa nusu au yote ... .. hulazimishwi kulipa yoteUDSM ili usajiliwe ada lazima uwe umetoa yote sio nusu ila huwezi kulazimishwa kulipa ada utaendelea kusoma huku hujasajiliwa shida test zikianza haufanyi mpaka uwe umesajiliwa kwa hiyo unaweza ukasoma mwezi ukapita ukiwa hujasajiliwa