wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Waungwana,
Ninapitia changamoto kwa masaa kadhaa sasa, kuna hela imewekwa kwenye akaunti yangu leo asubuhi, lakini nitaka nitoe kiasi kwa ajiri ya matumizi yangu, ATM inaniambia SALIO HALITOSHI.
Sasa cha kushangaza ukiangalia salio unaona fedha ipo nyingi sana, lakini kutoka haitoki.
Waungwana hapo shida ni nini?
Ninapitia changamoto kwa masaa kadhaa sasa, kuna hela imewekwa kwenye akaunti yangu leo asubuhi, lakini nitaka nitoe kiasi kwa ajiri ya matumizi yangu, ATM inaniambia SALIO HALITOSHI.
Sasa cha kushangaza ukiangalia salio unaona fedha ipo nyingi sana, lakini kutoka haitoki.
Waungwana hapo shida ni nini?