Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 48
Unajua jana muheshimiwa Kikwete alikunywa maji mengi sana,kilichonishangaza hakushikwa hata na haja ndogo.Ndipo hili likanipitia kichwani kwamba pale ndo raisi ameshikwa na haja na anataka kwenda kujisaidia,inakuwaje.Anakwenda au anavumilia.