Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,304
Hey Guys,,,
I hope mko poa
Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana,
Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na Rayvany wakiambulia category moja ambayo pia Ommy Dimpoz yumo pamoja na Alikiba na Diamond (Best male E`Africa).
Kinacho nishangaza ni kuona Harmonize na Rayvany wakifanya vzr kuliko Ommy Dimpoz ila kwenye tuzo kawapita kwa kuingiza ngoma karibia mbili.
Hivi Kati ya Tetema by Rayvany ft Diamond na Rock star by Ommy Dimpoz ft Alikiba ni ngoma ipi ilistahili kuingizwa kwenye category ya best collaboration of the year? Eti maajabu ni Rock star ndo ime ingia!! Kweli?
Au ndo ukiwa chini ya mtu huwezi kuonekana kama wahenga wasemavyo?
Je,Kainama ya Harmonize ft Diamond & Burna boy?
Afrimma mmezingua sanaaaaaaa.
I hope mko poa
Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana,
Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na Rayvany wakiambulia category moja ambayo pia Ommy Dimpoz yumo pamoja na Alikiba na Diamond (Best male E`Africa).
Kinacho nishangaza ni kuona Harmonize na Rayvany wakifanya vzr kuliko Ommy Dimpoz ila kwenye tuzo kawapita kwa kuingiza ngoma karibia mbili.
Hivi Kati ya Tetema by Rayvany ft Diamond na Rock star by Ommy Dimpoz ft Alikiba ni ngoma ipi ilistahili kuingizwa kwenye category ya best collaboration of the year? Eti maajabu ni Rock star ndo ime ingia!! Kweli?
Au ndo ukiwa chini ya mtu huwezi kuonekana kama wahenga wasemavyo?
Je,Kainama ya Harmonize ft Diamond & Burna boy?
Afrimma mmezingua sanaaaaaaa.