Inakuwaje Ommy Dimpoz anaingia kwenye Category nyingi za Afrimma kuliko Harmonize na Rayvany?

Nimemuuliza aliyesema Tetema ngoma mbovu,Slowly .Kuhusu ngoma kutokuwa kwenye tuzo sijui wametumia criteria gani ila tukisema tukusanye takwimu hamna nyimbo iliyotoka Africa mashariki mwaka huu ikafikia record ya Tetema katika digital platforms haipo,labda hii INAMA mpaka sasa nayo ktk chart za trace za nyimbo za Africa imekamata namba 1 mara tatu.
Kupata streaming mil 1 kwa sportfy ndani ya miezi 2 si swala dogo,Wizkid na ukubwa wake ule kwa mwaka huu mpaka hivi sasa nyimbo zake zote kiujumla zimekuwa stremed mara zaidi ya milioni 7,Rayvanny nyimbo moja ndani ya miezi miwili imekuwa streamed zaidi ya mara 1m.
wasanii wa bongo kupata views wengi na streamed kama hizo ni kitu cha kawaida sana,na sababu kubwa hazijajulikana bado,kibongo bongo ni hivyo vtu ni kawaida sana so haviwez kuniaminisha kuwa ndo ngoma Kali iliyo Fanya poa kwa East Africa kwa mwaka huu, labda useme kibongo bongo.
 
kuna watu wanapima uzuri wa nyimbo kisa zinapigwa sana bodaboda.
Ukali wa nyimbo suala la uzuri ni mtu binafsi... Ila Nyimbo Kali haina mipaka na haijalishi nani anaisikiliza ila uzuri una matter nani anasikiliza..
 
wasanii wa bongo kupata views wengi na streamed kama hizo ni kitu cha kawaida sana,na sababu kubwa hazijajulikana bado,kibongo bongo ni hivyo vtu ni kawaida sana so haviwez kuniaminisha kuwa ndo ngoma Kali iliyo Fanya poa kwa East Africa kwa mwaka huu, labda useme kibongo bongo.
Sportfy sio Youtube,youtube bando lako unastream bure,sportfy unalipia ndio unastream na kama hujui watanzania wenye access na sportfy ni wachache mno.
Diamond mwenyewe na ukubwa wake bado hajaifikia hii record sportfy.
 
Bila Jambo Squad Mamong'oo Kalangolo Silechi Manjeree izo tuzo ni Famba asee!!
 
tetema? Au haujui mziki ni nini!
Ommy Dimpoz ana ngoma kali sana ambazo rayvany hajazifikia, pengine hatoweza kuzifikia.
Wanao ujua mziki na maana yake ndiyo maana wamempatia na watazidi kumpatia Ommy haki yake.
Tetema na nyimbo kama hizo ni nyimbo za kusikiliza tu hapa mtaani, lakini siyo huko Kwenye dunia ya watu.
Pia watu wamekariri "wasafi wasafi" hata ikitoka wimbo mbovu, bado wafuasi wa wcb watataka tu kuupaisha japo haufai.

Sauti iko sawa au niongeze!
Muongezee
 
Namwambia Harmonize kila siku...mjini hapa PESA TU..kipaji chako peleka kwa wazazi wako

Haya sasa kaanza uona utamu wa kuingiza nyimbo kwenye ma award ulivyo mgumu..Kule nyimbo inaingia kama una Connection na mtonyo utoe.

Ommy pesa IPO so muacheni ana haki ya kudumbukiza ngoma mbili na pia connection za OMMY harmonize na vanny boy watasubiri sana hawamkuti ommy...

Huu mziki wa sasa hivi msichoelewa ni kwamba Wanatawala wenye pesa tuu..kama hauna pesa bhas hakikisha unaimba hadi watu wakiskia sauti yako wanalia tuuu kama ilivyokua kwa michael Jackson...inatakiwa kama unasimama ktk kipaji chako hakikisha ile unafungua mdomo kuanza kuimba NYUMA TAYARI UMEKUSANYA KIJIJI hapo award utazipata.

Tofauti na hapo mziki wa sasa ni ubabe kwa sana..ma bavu kwa kwenda mbele Ukiiweza hiyo vita INGIA IMBA.
 
Sportfy sio Youtube,youtube bando lako unastream bure,sportfy unalipia ndio unastream na kama hujui watanzania wenye access na sportfy ni wachache mno.
Diamond mwenyewe na ukubwa wake bado hajaifikia hii record sportfy.
Una tumia vigezo gan kusema ni wabongo wachache wenye acces na sportfy!?,Kwa taarifa yako Watz ndo wana ongoza kusupport wasanii wao kwa ukanda huu wa E'Africa kwa sasa,sasa wanakosaje kuwa na acces na sportfy!?
 
Una tumia vigezo gan kusema ni wabongo wachache wenye acces na sportfy!?,Kwa taarifa yako Watz ndo wana ongoza kusupport wasanii wao kwa ukanda huu wa E'Africa kwa sasa,sasa wanakosaje kuwa na acces na sportfy!?
Mnasupport youtube na si sportfy,kule unalipia unasikiliza.Mngekuwa mnasuport kazi kwa kulipia online leo hii mdundo,mkito na wasafi.com zisingekufa na wao walikuwa wanatoza kwa Tsh,sasa kulipia kwa dollar ndio mtaweza sportfy.
Kwenye Youtube huku wabongo mnaongoza sababu kitonga,ila Itunes,Sportfy,Tidal,Shazam wanaongoza ni Kenya ndio maana Kenya mziki unalipa kuliko bongo,bongo hapa tunasubiri kwa kideboy tukapakue bure na kusikiliza bure Youtube.
 
Mnasupport youtube na si sportfy,kule unalipia unasikiliza.Mngekuwa mnasuport kazi kwa kulipia online leo hii mdundo,mkito na wasafi zisingekufa na wao walikuwa wanatoza kwa Tsh,sasa kulipia kwa dollar ndio mtaweza sportfy.
Kwenye Youtube huku wabongo mnaongoza sababu kitonga,ila Itunes,Sportfy,Tidal,Shazam wanaongoza ni Kenya ndio maana Kenya mziki unalipa kuliko bongo,bongo hapa tunasubiri kwa kideboy tukapakue bure na kusikiliza bure Youtube.
😀😀😀Sawa kaka,peace💙
 
Kwanza elewa maana ya Collabo na Featuring kwenye muziki halafu njoo na haya malalamiko yako.
 
Tatizo lenu mnaongozwa na Chuki,ila hamna nyimbo inayongoza kufanya vizuri kwa mwaka huu kama Tetema kwenye sportfy (huu mtandao unalipia kustream audio)
Tetema imesikilizwa zaidi ya mara milion 1,Trace katika chart za nyimbo bora za Africa imekaa namba 1 kwa mda wa wiki tatu.Hivi unazani Itunes itakuwa imeuza copy ngapi,Youtube huko je? Hujagusa Boomplay ? Hujaingia Shazam huko? Eti ngoma haijafanya vizuri .Rayvanny kaitwa kwenye tamasha la Essence Festival US (linajumuisha akina Mary J bridge,Timberland,Pharell nk) sababu ya Tetema,kaitwa kupiga show Ureno sababu ya hii nyimbo,usione WCB wajinga kuifanyia RMX.
Hivi unazani 1m streams sawa sawa na shiling ngapi za kibongo na wanalipa kwa dollar na hiyo record ndani ya miezi 2,je mpaka sasa itakuwa imesikilizwa mara ngapi?
View attachment 1190598

View attachment 1190600
Aiseee sikuyajua haya
 
Namwambia Harmonize kila siku...mjini hapa PESA TU..kipaji chako peleka kwa wazazi wako

Haya sasa kaanza uona utamu wa kuingiza nyimbo kwenye ma award ulivyo mgumu..Kule nyimbo inaingia kama una Connection na mtonyo utoe.

Ommy pesa IPO so muacheni ana haki ya kudumbukiza ngoma mbili na pia connection za OMMY harmonize na vanny boy watasubiri sana hawamkuti ommy...

Huu mziki wa sasa hivi msichoelewa ni kwamba Wanatawala wenye pesa tuu..kama hauna pesa bhas hakikisha unaimba hadi watu wakiskia sauti yako wanalia tuuu kama ilivyokua kwa michael Jackson...inatakiwa kama unasimama ktk kipaji chako hakikisha ile unafungua mdomo kuanza kuimba NYUMA TAYARI UMEKUSANYA KIJIJI hapo award utazipata.

Tofauti na hapo mziki wa sasa ni ubabe kwa sana..ma bavu kwa kwenda mbele Ukiiweza hiyo vita INGIA IMBA.
Endelea kuotaa... Ommy show zake 10 ndo moja ya Harmo mamaee...!! Hakuna kitu palee hana tofauti na Mr Nice
 
Hey Guys,,,

I hope mko poa

Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana,

Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na Rayvany wakiambulia category moja ambayo pia Ommy Dimpoz yumo pamoja na Alikiba na Diamond (Best male E`Africa).

Kinacho nishangaza ni kuona Harmonize na Rayvany wakifanya vzr kuliko Ommy Dimpoz ila kwenye tuzo kawapita kwa kuingiza ngoma karibia mbili.

Hivi Kati ya Tetema by Rayvany ft Diamond na Rock star by Ommy Dimpoz ft Alikiba ni ngoma ipi ilistahili kuingizwa kwenye category ya best collaboration of the year? Eti maajabu ni Rock star ndo ime ingia!! Kweli?

Au ndo ukiwa chini ya mtu huwezi kuonekana kama wahenga wasemavyo?

Je,Kainama ya Harmonize ft Diamond & Burna boy?

Afrimma mmezingua sanaaaaaaa.
So hujui kutofautisha kitu bora nikipi raynsvy sijui kaimba vizuri ila haijaleta picha nzuri wao wamebase kwenye mapenzi .
Huyu ameleta wimbo unaotach people naunaujumbe mzuri hata rock star ila za kinadai wao mapenzi tu wamechokwa kuna muda mtu achange.
 
Back
Top Bottom