Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,305
- Thread starter
- #41
wasanii wa bongo kupata views wengi na streamed kama hizo ni kitu cha kawaida sana,na sababu kubwa hazijajulikana bado,kibongo bongo ni hivyo vtu ni kawaida sana so haviwez kuniaminisha kuwa ndo ngoma Kali iliyo Fanya poa kwa East Africa kwa mwaka huu, labda useme kibongo bongo.Nimemuuliza aliyesema Tetema ngoma mbovu,Slowly .Kuhusu ngoma kutokuwa kwenye tuzo sijui wametumia criteria gani ila tukisema tukusanye takwimu hamna nyimbo iliyotoka Africa mashariki mwaka huu ikafikia record ya Tetema katika digital platforms haipo,labda hii INAMA mpaka sasa nayo ktk chart za trace za nyimbo za Africa imekamata namba 1 mara tatu.
Kupata streaming mil 1 kwa sportfy ndani ya miezi 2 si swala dogo,Wizkid na ukubwa wake ule kwa mwaka huu mpaka hivi sasa nyimbo zake zote kiujumla zimekuwa stremed mara zaidi ya milioni 7,Rayvanny nyimbo moja ndani ya miezi miwili imekuwa streamed zaidi ya mara 1m.