Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Habari za wakati huu,
Naombeni kujuzwa hii hua ina maana gani, yani ninakua namfikiria mtu ambae sjamuona muda mrefu mno ajabu nikikutana na mtu ninaejua anajua alipo nikimuulizia tu jibu no moja AMEFARIKI
Mara ya kwanza kunitokea, kuna classmates wenzangu nilikua nikielewana nao mno, sasa baada ya shule kila mtu kwenda kivyake baada ya mitandao kama facebook na instagram kuwepo nilijitahidi sana kuwatafuta sasa siku moja huko insta nikakutana na classmate wangu mwengine katika harakati za kuwaulizia hao wengine akanambia mmojawapo alifariki alikua anaumwa mwengine alifariki na uzazi ilinitesa mana nilikua hata nikiwa busy walikua hawatoki akilini mwangu
Nyingine nayo kuna kaka mmoja wakati nafanya kazi tulikua tunafanya kazi kwenye jengo moja ofisi tofauti,alitokea kunichunuku mno hata ikatokea mimi nikaacha kaz hapo nikaendelea na mambo yangu, ila sasa nikawa namfikiria mno kwamba sina namba na muda wa kwenda ofisini kwake sina nikawa najiambia nafsini nitaenda nikamsalimie yan nikawa kama nafsi inataka kwenda lakini mimi sjui uzito ulitokea wapi, sasa siku moja kuna mama ambaye tulikua wote kwenye hilo jengo akanipigia tukasalimiana akaniambia unamkumbuka Daud nikamjib yeah namkumbuka sana nimekua mzito kwenda kumsalimia tangu niondoke akanijibu amefariki tangu mwezi uloisha tena ukimuona mtu kama yeye njiani ukimbie kafariki ghafla na tulishamzika aisee skua sawa had leo najiuliza kuna nini?? kwa nini nikimfikiria mtu kama hivyo nakuja kuambiwa amefariki
Je, kuna meseji yoyote natakiwa kuijua na mimi kutokana na ufaham wangu wa nafsi sjui chochote?? naombeni kujuzwa kwa mwenye kujua
Mshana Jr Pascal Mayalla
Naombeni kujuzwa hii hua ina maana gani, yani ninakua namfikiria mtu ambae sjamuona muda mrefu mno ajabu nikikutana na mtu ninaejua anajua alipo nikimuulizia tu jibu no moja AMEFARIKI
Mara ya kwanza kunitokea, kuna classmates wenzangu nilikua nikielewana nao mno, sasa baada ya shule kila mtu kwenda kivyake baada ya mitandao kama facebook na instagram kuwepo nilijitahidi sana kuwatafuta sasa siku moja huko insta nikakutana na classmate wangu mwengine katika harakati za kuwaulizia hao wengine akanambia mmojawapo alifariki alikua anaumwa mwengine alifariki na uzazi ilinitesa mana nilikua hata nikiwa busy walikua hawatoki akilini mwangu
Nyingine nayo kuna kaka mmoja wakati nafanya kazi tulikua tunafanya kazi kwenye jengo moja ofisi tofauti,alitokea kunichunuku mno hata ikatokea mimi nikaacha kaz hapo nikaendelea na mambo yangu, ila sasa nikawa namfikiria mno kwamba sina namba na muda wa kwenda ofisini kwake sina nikawa najiambia nafsini nitaenda nikamsalimie yan nikawa kama nafsi inataka kwenda lakini mimi sjui uzito ulitokea wapi, sasa siku moja kuna mama ambaye tulikua wote kwenye hilo jengo akanipigia tukasalimiana akaniambia unamkumbuka Daud nikamjib yeah namkumbuka sana nimekua mzito kwenda kumsalimia tangu niondoke akanijibu amefariki tangu mwezi uloisha tena ukimuona mtu kama yeye njiani ukimbie kafariki ghafla na tulishamzika aisee skua sawa had leo najiuliza kuna nini?? kwa nini nikimfikiria mtu kama hivyo nakuja kuambiwa amefariki
Je, kuna meseji yoyote natakiwa kuijua na mimi kutokana na ufaham wangu wa nafsi sjui chochote?? naombeni kujuzwa kwa mwenye kujua
Mshana Jr Pascal Mayalla