herbsman
Member
- Apr 29, 2011
- 81
- 57
hakuna kitu kinauma kama kujua mkeo ana uhusiano na mwanaume mwingine na she is in a serious relationship.nimefukuzwa kwenye nyumba ya kupanga na baba mwenye nyumba baada ya kujua mama mwenye nyumba ana hisia kwangu nami sijui hilo nimejua baaba ya kutoka na mama mwenye nyumba kunitumia txt za mahaba.for god sake, kwa nini upo kwenye ndoa na unapenda vijana?