johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,743
- 141,604
Najaribu tu kuutafakari huu uwiano wa makosa ya utakatishaji fedha na adhabu zinazoendana na makosa hayo.
Ni juzi tu tumeshuhudia Jamal Malinzi na mwenzie Mwesiga wakilipishwa faini ya Sh. 500,000 baada ya kusota mahabusu kwa miaka.
Wako wakina Kitilya na Sioi nao wamesota sana rumande.
Naendelea kutafakari kama wanasheria wetu wanaijua sheria kama wale wa enzi za Pontio Pilato waliomjaribu Yesu kila wakati.
Maendeleo hayana vyama!
Ni juzi tu tumeshuhudia Jamal Malinzi na mwenzie Mwesiga wakilipishwa faini ya Sh. 500,000 baada ya kusota mahabusu kwa miaka.
Wako wakina Kitilya na Sioi nao wamesota sana rumande.
Naendelea kutafakari kama wanasheria wetu wanaijua sheria kama wale wa enzi za Pontio Pilato waliomjaribu Yesu kila wakati.
Maendeleo hayana vyama!