The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 2,996
- 4,164
ndio mambo yalivyo. Nisawa na nature huwezi kuibadili, au kusema tubadili nature ya jua kuwa ichomoze west na izame eastHii kitu tuipinge bana
ndio mambo yalivyo. Nisawa na nature huwezi kuibadili, au kusema tubadili nature ya jua kuwa ichomoze west na izame eastHii kitu tuipinge bana
Ipo namna... Historia italiweka wazi !!!Na mimi nimeshangaa.Mabosi ni waajiri yaani employers huwa hawaruhusiwi kuwa na kadi za vyama vya wafanyakazi sasa inakuwaje wapewe zawadi na vyama vyao wakati sio wanachama?