Mimi si Mjiolojia, lkn ufahamu wangu unanitaka nijue kuhusu upatikanaji wa Mafuta. Uganda wamepata mafuta kwenye Ziwa Albert Bonde la Ufa Magh ambalo linapitia Ziwa Tanganyika na Kenya watachimba mafuta eneo la Turkana ambalo Bonde la Ufa Mash linatokea kwetu. Kampuni iliyopata mafuta nchi hizo ni Tulow Oil.
Mbona sisi Tz hatusikii hata dalili za mafuta ktk Bonde hilo ambalo sehemu kubwa liko kwetu? Au Tulow Oil hawatafuti mafuta Tz?
Najiuliza huku kwetu kuna nini kinaendelea.
Wataalamu mtujuvishe.
Mbona sisi Tz hatusikii hata dalili za mafuta ktk Bonde hilo ambalo sehemu kubwa liko kwetu? Au Tulow Oil hawatafuti mafuta Tz?
Najiuliza huku kwetu kuna nini kinaendelea.
Wataalamu mtujuvishe.