JustineKitenge2016
Member
- Jul 17, 2016
- 46
- 62
Ndugu zangu habarini za sa hizi,mimi ninashida moja hivi kwa nilivyosikia et TCU wanavyopanga grades zinatofautiana na vyuo vingine kwa mfano sisi C inaanzia 50 na wao TCU hawana B+ sisi tunayo inaanzia 75 je kuwajudge wanafunzi waliomaliza diploma kutoka kwenye vyuo kama vyetu itakuaje
ASANTENI
ASANTENI