playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
- Thread starter
- #21
Sina hakika nsaidieUnajua maana ya trending?
Sina hakika nsaidieUnajua maana ya trending?
Sio mshamba tu na ULIMBUKENI juuDiamond mshamba sana..
Na zile comments ni robots?... comments ni maoni ya wanaotizama video husiku naona KAMATA ina comments elfu 9 halafu SALUTE in a comments elfu 20 hii nayo ipoje?Robotics... kiba anatumia maroboti,
Mmmmh ulielewa topic kwel?Nyimbo nyingi za Kiba hazina muendelezo mzuri wa viewers ndio maana nyimbo zake nyingi zinaishia 6-8M wakati mwenzake Mondi zinaishia kuanzia 40M kuendelea.Unaweza ukakuta hiyo Ngoma inaishia kwenye 7M wakati mwenzake atagonga 20M
Kaka leo hii msanii wa kimataifa DIAMOND anaangaliwa zaid TZ? kwamba kiba kawa na mashabiki wengi nje ya Nchi leo hii? Hapa ndio maana na ya kile ambacho wasanii wengine wamekuwa wakilalamikia nakiona cha kucheza na KUCHEZA NA YOUTUBE na ambacho diamond hakitaki ni kuona anashushwa trending na kiba, bt hata kama hashushwi anatuachia maswali mengi kwa hiki kinachoonekana.Tumia akili.
Ukiwa no 1 kwenye trend ya eneo husika ni lazima uwe unaangaliwa zaidi eneo hilo kwa muda huo.
We kwa akili yako unadhani hizo video zinapata viewers Tanzania peke yake ?.
Huyu Diamond au Zuchu wanaangaliwa zaidi Tz ndio maana wanaongoza kwenye trendings za Tz, hao wengine wana viewers wengi ila wengi walioangalia zaidi inaonekana ni wa nchi nyinginezo, period .
Jamaa kazidiwa viewers though alianza yy kupandisha video yake YouTube.. this means hii no2 ndio inatazamwa sana kwa sasa, sasa why no1 haishuki trend?
View attachment 1838349
Mrejesho wa video 4 kutoka kwa wasanii wenye mtifuano mkali youtube
1. Harmonize - Sandakalawe ~ 3.8M+
2. Diamond - Kamata ~ 2.7M+
3. Alikiba - Salute ~ 2.6M+
4. Zuchu - Nyumba ndogo ~ 1.6M+
kuna cha kujiuliza hapa, sio bure
kaisha kalishwaMjomba wenu anakimbizwaView attachment 1838718
Lakini trending yupo zuchu WCB mna la kutuambia kuhusu YOUTUBE coz harmonise anayo hiyo 3.8 in two days.Mrejesho wa video 4 kutoka kwa wasanii wenye mtifuano mkali youtube
1. Harmonize - Sandakalawe ~ 3.8M+
2. Diamond - Kamata ~ 2.7M+
3. Alikiba - Salute ~ 2.6M+
4. Zuchu - Nyumba ndogo ~ 1.6M+
kuna cha kujiuliza hapa, sio bure
Hii ya Otile ni zaidi ya balaaSadala anakimbizwa nyumbani na UgeniniView attachment 1838509
Hivi huku hawaingiagi Wasanii kama kina Madee, jide n.k.Kweli kabisa hata sisi tunaona,mpaka mwezi ukisha ndipo tutamjua SADALA NI NANI.
View attachment 1838673
View attachment 1838674
Naona umekazia hapo hapo , akili kumkichwa 😂Lakini trending yupo zuchu WCB mna la kutuambia kuhusu YOUTUBE coz harmonise anayo hiyo 3.8 in two days.
ashashuka huyoKaka leo hii msanii wa kimataifa DIAMOND anaangaliwa zaid TZ? kwamba kiba kawa na mashabiki wengi nje ya Nchi leo hii? Hapa ndio maana na ya kile ambacho wasanii wengine wamekuwa wakilalamikia nakiona cha kucheza na KUCHEZA NA YOUTUBE na ambacho diamond hakitaki ni kuona anashushwa trending na kiba, bt hata kama hashushwi anatuachia maswali mengi kwa hiki kinachoonekana.