Ndugu wana JF,
Asaalam. mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa DAR. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee Tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... jamani nisaidieni.....
Asaalam. mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa DAR. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee Tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... jamani nisaidieni.....