BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Somo zuri
Asante kwa ujumbe mzuri
umetransilate ile ya kingereza eeh? hakuna jipya
Sijawai kulizwa na story lakini hii imenitoa machozi.
So sad
tumelia wengi wallah
oooh kweli inauma,lakini wanaume wengne mjifunze kupitia hii story,mmmh nazidi kuogopa maisha ya ndoa,wat can i do?mungu nipe nguvu!
Jamani mm bado sijaolewa, ila hii Thread imenifanya nilie sana, ki ukweli imeniumiza sana, Asante kwa somo.