kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,421
- 3,391
Jamani hivi mtu unakuwa na ujasiri gani wa kumpa mwanamke mimba halafu umkimbie,unategemea nani atamsaidia mpaka kuja kujazaa
Watoto hawa maskini ya Mungu wala hakuna siku waliyowahi kuandika application latter kwako kuwa uwalete duniani,ni wewe mwenyewe pamoja Na tamaa zako.
Sasa kwa vile umewalete basi chukua jukumu la ubaba na si kukimbia na kumuacha mdada wa watu ahangaike na mtoto,ni dhambi Na laana,kama huezi kutuna usizae kwani kitu gani bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto hawa maskini ya Mungu wala hakuna siku waliyowahi kuandika application latter kwako kuwa uwalete duniani,ni wewe mwenyewe pamoja Na tamaa zako.
Sasa kwa vile umewalete basi chukua jukumu la ubaba na si kukimbia na kumuacha mdada wa watu ahangaike na mtoto,ni dhambi Na laana,kama huezi kutuna usizae kwani kitu gani bwana
Sent using Jamii Forums mobile app