The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,494
- 2,040
Nianze kwa kuipongeza serikali kwa kujenga barabara nyingi na nzuri sana hapa Tabora manispaa. Kwa wale waliofika tabora miaka ya karibuni watakubaliana na mimi kwamba serikali imewekea pesa nyingi kuijenga hii manispaa.
Naomba nieleweke kwamba sina tatizo kabisa na ujenzi wa miundombinu maadamu panapojengwa ni Tanzania na kwa fedha za watanzania. Jambo linalonisumbua ni kwamba shughuli za uzalishaji katika mkoa wa Tabora athari yake ina iko chini kutokana na hali yake kiuchumi na kijiografia.
Ninadhani serikali ingewekeza nguvu nyingi sana kujenga miundombinu kwenye mikoa ambayo athari zake kiuchumi ni kubwa na zinaathiri maisha ya watu wote mojakwa moja.
Mfano: ukiruhusu barabara ziwe mbovu kwenye mikoa kama mbeya, ambayo huzalisha mazao mengi sana ya chakula tegemeo karibu kwa nchi nzima na nchi jirani, unafanya haya mazao yasafiri kwa gharama kubwa sana na hivyo kuyafanya hayo mazao yasafiri kwa gharama kubwa sana. Na kwa jinsi hiyo unawasababishia hata hawa uliodhani kuwasaidia maisha magumu.
Naomba nieleweke kwamba sina tatizo kabisa na ujenzi wa miundombinu maadamu panapojengwa ni Tanzania na kwa fedha za watanzania. Jambo linalonisumbua ni kwamba shughuli za uzalishaji katika mkoa wa Tabora athari yake ina iko chini kutokana na hali yake kiuchumi na kijiografia.
Ninadhani serikali ingewekeza nguvu nyingi sana kujenga miundombinu kwenye mikoa ambayo athari zake kiuchumi ni kubwa na zinaathiri maisha ya watu wote mojakwa moja.
Mfano: ukiruhusu barabara ziwe mbovu kwenye mikoa kama mbeya, ambayo huzalisha mazao mengi sana ya chakula tegemeo karibu kwa nchi nzima na nchi jirani, unafanya haya mazao yasafiri kwa gharama kubwa sana na hivyo kuyafanya hayo mazao yasafiri kwa gharama kubwa sana. Na kwa jinsi hiyo unawasababishia hata hawa uliodhani kuwasaidia maisha magumu.