Hujaona walipokosea?ombi lako limafanikiwa.Ungefafanua kidogo ni kipi kimekosewa ili maIT tukufafanulie na si kukimbilia kiscreenshot
Ahh OK hii naona itakuwa inasababishwa na maIT wa halotel kutokuju kiswahili(watakuwa ni wahindi wekundu)Ombi lako limafanikiwa hapo kwenye bold mkuu