Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,375
Sometime nakaa nawaza na kushangaa na kujiuliza
Huyu Mzee mtu mzima anakubalije kuajiriwa na kijana Tena kama mtoto wake tu Tena ni mwanamke
Wewe Mzee miaka yote ulishindwa kabisa kupambana ukawa na biashara zako ambazo baada ya kustaafu/kufukuzwa/kuacha kazi ungeziendeleza na ukaajiri watu sawa na watoto wako wakasimamia?
Ni Mambo ya ajabu sana kwenda ofisini na kukuta mzee mzima amekaa katika ajira ambayo mwenye nayo ni mwanamke Tena sawa na mwanae na anatumwa na mwanamke huyo
Huku ni kujifedhehesha Sana Yani Mzee ujana wako wote umeshindwa kujijenga Hadi ukubali kutumwa na mwanamke /kijana sawa na mwanae wa kumzaa huku ukubwani,unakurupuka asubuhi kwenda kwenye kibarua ulichopewa na binti ambaye sawa na mwanao
Halafu nawe Mzee unaona ufahari kabisa na kumsifia huyo mtu anaekupa ugali Yani kuna wazee wengine wapumbavu Sana
Wewe kijana wewe Mzee andaa maisha yako na wanao sasa usisubiri ukaajiriwe na watoto wadogo wakupangie kazi ni Mambo ya aibu sana na ya kutia kichefuchefu Mzee kuajiriwa na mtoto tena mwanamke
Jipange Mzee.
Huyu Mzee mtu mzima anakubalije kuajiriwa na kijana Tena kama mtoto wake tu Tena ni mwanamke
Wewe Mzee miaka yote ulishindwa kabisa kupambana ukawa na biashara zako ambazo baada ya kustaafu/kufukuzwa/kuacha kazi ungeziendeleza na ukaajiri watu sawa na watoto wako wakasimamia?
Ni Mambo ya ajabu sana kwenda ofisini na kukuta mzee mzima amekaa katika ajira ambayo mwenye nayo ni mwanamke Tena sawa na mwanae na anatumwa na mwanamke huyo
Huku ni kujifedhehesha Sana Yani Mzee ujana wako wote umeshindwa kujijenga Hadi ukubali kutumwa na mwanamke /kijana sawa na mwanae wa kumzaa huku ukubwani,unakurupuka asubuhi kwenda kwenye kibarua ulichopewa na binti ambaye sawa na mwanao
Halafu nawe Mzee unaona ufahari kabisa na kumsifia huyo mtu anaekupa ugali Yani kuna wazee wengine wapumbavu Sana
Wewe kijana wewe Mzee andaa maisha yako na wanao sasa usisubiri ukaajiriwe na watoto wadogo wakupangie kazi ni Mambo ya aibu sana na ya kutia kichefuchefu Mzee kuajiriwa na mtoto tena mwanamke
Jipange Mzee.