conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,116
- 762
Mungu asaidie aisee....nachukulia km uhainiUnajisikiaje mwanao wa kiume akiwa hivi?
Mungu asaidie aisee....nachukulia km uhainiUnajisikiaje mwanao wa kiume akiwa hivi?
Km kabila lako lina mila hizo ni sawa ila km halina mila za kuweka kipini kwenye pua..Ni mtazamo tu, makabila kadhaa ya kiafrika, asia, ulaya na marekani wanaume wamekuwa na wanakuwa wanavaa hivyo vyote ulivyotaja. Tatizo wasiendelee na kugawa tigo! Ila hayo mapambo hayatutishi..
andika/rudia vizuri tafadhali sijakuelewa!Umeulizwa tofauti yko na mkeo au dada yko ni nn ukiwa mtoto wa kiume.
Itakuwa anadumisha mila za mababu kama makabila yaliyobaki kudumisha mila wamasaai wanasuka na kutoboa masikio na kuvaa hereni wanaume, kiasili makabila yote Tz ni hivyo, kabla wakoloni hawajatu brain wash tubadili utamaduni.wakuu kwema?
Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.
Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.
Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.
Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.
Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?
Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
"People blame this generation but they forget who raised it up"Ndo vijana wa miaka hii
Wenzako hua tuna toa pesa kwa agent wa gari aniweke na pis kali kwenye sit moja kuepuka hayo, ukikaa siti moja na pis kali safari inanoga sana fanya hivyo utakuja kunishukuru chief.wakuu kwema?
Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha.
Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri, nimekaa na kijana(mwanaume) mwenzagu the way alivo kama kungekuwa na siti iliyo wazi au ningejua mapema nakaa na mtu wa namna hii ningeweza kubadili mapema seat ya kukaa au gari kabisa.
Jamaa amenyoa nywele za pembeni ambayo mnaziita kiduku style then kasuka Rasta zile za kulala mbaya zaidi sikioni ana hereni na puani ametoboa ameweka kipini kidogo, Huyu jamaa ana mwenzake yuko seat inayofuata naye ana hereni ila yeye hajasuka wala hana kipini.
Kiukweli kukaa naye hapa imekuwa kero sana kwangu, kila nikimuangalia najihisi vibaya sana.
Hivi inakuwaje mwanaume unafikia kiwango hiki? Ni kwamba wanaona dada zao wanafaidi au?
Wazazi mnawaachaje vijana wenu wa kiume mpaka wanafikia kiwango hiki mkiwa mnawaangalia?
usikute kavaa chupi ya kike na shanga anazo. kama kaweza yote hayo atasindwaje kuvaa bikiniBila shaka huyo jamaa ananukia pafyum ya kike hahahaaa