Inakuaje Magufuli anagawa hela na miradi ya maendeleo njiani kwa mizuka tu kwenye ziara, hakuna plan nchi hii?

Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana

Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?

Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
Summarize kwa kusema "Wabunge rudini majimboni hakuna faida ya mnachoafanya hapo bungeni kwa sasa".Bajeti ni kwa kilometre 17,then hafla inabadilshwa angani inakuwa ya 70 kms.
Magufuli ana uthubutu lakini anaivunja mihimili mingine na hii haina siha kwa Taifa.Akiondoka tunarudi kule kule.
 
mawazo yenu finyu sana.hizo pesa zinakuuma sana kupewa wananchi,huyo ni rais wa wanyonge,mwache rais wetu achangie
 
Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana

Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?

Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
ulitaka awagawie wajeremani hizo pesa?
 
Milion 5 katoa kama mchango tu pale anapokuta kuna shughuli ya kijamii wananchi wamejitolea kufanya nayeye anawachangia.

Kuhusu ujenzi wa Barabra inabidi kwanza ujue kuwa Bajeti ndiyo inaenda kuandaliwa anavyopita huko akitoa ahadi na akaagiza kwa Wizara husika ujue wananote then wataitumbikiza kwenye bajeti ya mwaka 2019/2020 katika Wizara ya ujenzi itakayosomwa hivi karibuni.
Mchangiaji kauliza , hana plan? Wizara haina vipaombele/priorities? Kwasasa tunaona vipaombele vya mizuka tu.
 
Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana

Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?

Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
Ufisadi mwingine huo
 
Nauliza wakuu hivi miradi ya serikali kama barabara ,Vituo vya Afya ni lazima iombwe kwa Mh.Rais?
 
Hayo ni yako ila leo tukimuweka jaakaya na Magufuli Watanzania watamchagua Kikwete kwa kura nyingi sana.
Tusiandikie mate. Nenda kamshauri lipumba amsimamishe jk. Ccm wamweke JPM wao halafu kusiwepo kampeni. Wote 2 waende nje ya nchi warudi baada ya matokeo kutangazwa.
 
Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana

Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?

Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
Potelea mbali hata kama hazina bajeti ila kama Wananchi wanafaidika nazo, abarikiwe sana kwa maana anaweza kula na wakwao tu sijui mtasema nini?
 
lakini si anatoa zifanye mambo ya maana au?,vitu vingine ukivifikiria utaumiza kichwa tu maana huna la kufanya kubadilisha hali
 
He is a DISGRACE to our beloved country. The guy is hopeless with ZERO PLAN to improve the economy of this country.

Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi wanamsubiri kwenye mvua akawaahidi barabara sababu wamemfurahisha sana

Sasa ninachojiuliza ina maana Rais hana plan au bajeti ambazo zipo pre determined kutokana na umuhimu wake na kuzipa hela bali yeye anagawa tu hela kutokana na mzuka ambao wananchi watampandisha?

Tukiachana na hizo za milioni 5 nyingi, kuna milioni 400 kaahidi za zahati, kuna barabara ya nabilioni kaahidi tena baada ya kuona wananchi wamemsubiri kwenye mvua
Nashangaa hivi hakuna mipango ya kujenga barabara fulani kutoka na umuhimu wa hizo barabara bali Rais anagawa tu miradi ya barabara baafa ya wananchi kumfurahisha?
 
Labda washauri wanamshauri sehemu ambazo wanazijua wao na yeye anashtukia dili anaamua kugawa kwa hasira na kuamua tu hapa nifanye nini na wapi nifanye nini mradi awavuruge wasipate kitu
Labda who knows
 
Back
Top Bottom