Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,158
- 1,227
Jidanganyeni tuu, chuoni wewe fuata maelekezo ya anayekufundisha ukileta ujuaji kama ule sijui nimekata mapindi kwa MUDDY,MTIGA,MKANDA n.k.Utajikuta unakosa hata sifa za kufanya hizo sups zenyewe,Hakikisha hubakishi kipolo bhana lazima ulipe goli uliloachia/fungwa kwanza ndiyo ulilie ushindi.