Inakera sana kila kukicha Dr Jk anazidi kuchanja mbuga wakati mnasafirisha watu kwenye mikutano yake kwa maroli, first of all binadamu hawatakiwa kusafirishwa kwenye malori lkn kwa kuwa CCM na the so called DR JK ni MaDR wa kuchakachua sheria basi mtawababe hao hao mtakaowapata na kumbukeni sio wote watampa kura wengi wao wanataka tu kusafiri kwenda kupoteza muda or naweza sema wanaenda kubadilisha hali ya hewa.
Yaani siku zote JK watu tumechoka tunataka kuona wapinzani especially Real DR Willbroad Slaa(PhD) kwani tunamkubali na sio kutulazimisha kusoma au kuona picha za Kikwete,nimechoka aaaghff.
Chademaaaaa wanatisha kura yako mpe Dr Slaaaaa hata wewe Michuzi usidanganyike!!
Yaani siku zote JK watu tumechoka tunataka kuona wapinzani especially Real DR Willbroad Slaa(PhD) kwani tunamkubali na sio kutulazimisha kusoma au kuona picha za Kikwete,nimechoka aaaghff.
Chademaaaaa wanatisha kura yako mpe Dr Slaaaaa hata wewe Michuzi usidanganyike!!