kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,362
- 4,851
Wanabodi leo hii bodi ya mikopo ya elimu ya juu imetoa orodha ya tatu na ya mwisho ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa ajili ya ada na pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Ajabu na linalonishangaza ni huyu mdogo wangu, kasoma shule za serikali kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita, akinyimwa mkopo ilihali akiwa amefaulu kwa division ya kwanza kuanzia kidato cha nne mpaka sita, tena kwa combination ya PCB. Mpaka mda huu amefanikiwa kupata nafasi katika chuo cha ( MUHAS) MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE katika faculty ya MEDICINE.
Wanabodi nisaidieni mawazo ili kuokoa ndoto za dogo huyu ukizingatia sisi wakulima wa chini (strong peasants) kugharamia hizo ada za milion kadhaa ni mitihani kidogo.
Pia ntafurahi ikiwa ntasaidiwa kukutanishwa na wadau wengine wanaweza kumsponsor dogo huyu mwenye ndoto lukuki kwenye kada hii "nyeti" ya afya.
NAWASILISHA
Ajabu na linalonishangaza ni huyu mdogo wangu, kasoma shule za serikali kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita, akinyimwa mkopo ilihali akiwa amefaulu kwa division ya kwanza kuanzia kidato cha nne mpaka sita, tena kwa combination ya PCB. Mpaka mda huu amefanikiwa kupata nafasi katika chuo cha ( MUHAS) MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE katika faculty ya MEDICINE.
Wanabodi nisaidieni mawazo ili kuokoa ndoto za dogo huyu ukizingatia sisi wakulima wa chini (strong peasants) kugharamia hizo ada za milion kadhaa ni mitihani kidogo.
Pia ntafurahi ikiwa ntasaidiwa kukutanishwa na wadau wengine wanaweza kumsponsor dogo huyu mwenye ndoto lukuki kwenye kada hii "nyeti" ya afya.
NAWASILISHA