Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,025
- 9,766
Inahitajika RAV 4 ya kuanzia mwaka 2006 mpaka 2008 alimaarufu miss tz. 1. Bajeti milioni 15 - 18.
2. Km zisizidi 90,000.
3. Namba kuanzia D hata C iliyo bomba itafikiriwa.
4. Isiwe imepata ajali wala kurudiwa rangi.
5. Engine iwe poa.
6. Ukaguzi unafanyika kwa fundi wetu.
7. Rangi yeyote.
8. Iwe safi ndani.
9. Ikiwa haina tairi la nyuma kama vanguard itapendeza zaidi.
Muhimu iwe Dar kuepuka usumbufu na gharama ya kuikagua ukiwa mkoani gharama ya kuileta Dar na ukaguzi juu yako.
Karibuni
2. Km zisizidi 90,000.
3. Namba kuanzia D hata C iliyo bomba itafikiriwa.
4. Isiwe imepata ajali wala kurudiwa rangi.
5. Engine iwe poa.
6. Ukaguzi unafanyika kwa fundi wetu.
7. Rangi yeyote.
8. Iwe safi ndani.
9. Ikiwa haina tairi la nyuma kama vanguard itapendeza zaidi.
Muhimu iwe Dar kuepuka usumbufu na gharama ya kuikagua ukiwa mkoani gharama ya kuileta Dar na ukaguzi juu yako.
Karibuni