salaaam
ndugu zangu great thinkers nataman kuanza biashara tajwa hapo juu, naomba msaada wenu kujua je inahitaji kias gan cha mtaji kuanzisha biashara hiyo??????
nawasilisha natumai kupata msaada
Kuanzisha yategemea umejipangaje,kwanza lazima ujue unasafirisha kwa njia gani,magari au anga na je unavyo vitendea kaz hivyo au unakua agent na kutumia vyombo vya usafiri vya watu wengine.......process za kufungua kampuni nadhani unazijua
salaaam
ndugu zangu great thinkers nataman kuanza biashara tajwa hapo juu, naomba msaada wenu kujua je inahitaji kias gan cha mtaji kuanzisha biashara hiyo??????
nawasilisha natumai kupata msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.