Inafikirisha sana sababu za Yanga kuachana Gamondi

Thabit Madai

Member
Oct 8, 2024
52
138
FB_IMG_1731674533738.jpg



...Maisha ya Makocha wa Football kwenye Timu huwa hayategemei mafanikio uliyowapa huko nyuma bali mwenendo wa timu kwa wakati huo.

Maisha ya Makocha wa Klabu za Simba na Yanga huwa hayategemei rekodi uliyoiweka kwenye klabu bali kelele za Mashabiki na maamuzi ya viongozi kwa wakati huo.

Na hii ni kwasababu viongozi wa timu wanajua huwa wanashindaje hizo mechi...

Ndio maana Simba waliachana na Didier Gomes Da Rosa na Patrick Aussems walioweka alama kubwa kwenye mafanikio ya Simba Kimataifa hivi karibuni.

Ndivyo ilivyo hata kwa Master Miguel Gamondi wa Yanga

Licha ya vikao kuisha na Gamondi kupewa mechi 3 bado Viongozi wa Yanga wanatafuta mbadala wa Gamondi.

Taarifa zinaeleza mmoja wa viongozi wa Yanga hivi karibuni amesafiri nje ya Nchi kumfuatilia mbadala wa Gamondi.

Hata Gamondi mwenyewe anafahamu...

Najiuliza,
Gamondi amewapa mataji mengi Yanga kwa muda aliokaa
Gamondi yuko nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi akiwa nyuma kwa alama moja tu.
Gamondi ameipeleka timu hatua ya Makundi CAFCL

Kama huyu hafai...Yanga inapaswa kuwa na Kocha wa namna gani? Maana hata Pep anafungwa!

Hii inafikirisha sana...

✍️Sospeter Ilagila
FB_IMG_1731674533738.jpg
 
View attachment 3153024


...Maisha ya Makocha wa Football kwenye Timu huwa hayategemei mafanikio uliyowapa huko nyuma bali mwenendo wa timu kwa wakati huo.

Maisha ya Makocha wa Klabu za Simba na Yanga huwa hayategemei rekodi uliyoiweka kwenye klabu bali kelele za Mashabiki na maamuzi ya viongozi kwa wakati huo.

Na hii ni kwasababu viongozi wa timu wanajua huwa wanashindaje hizo mechi...

Ndio maana Simba waliachana na Didier Gomes Da Rosa na Patrick Aussems walioweka alama kubwa kwenye mafanikio ya Simba Kimataifa hivi karibuni.

Ndivyo ilivyo hata kwa Master Miguel Gamondi wa Yanga

Licha ya vikao kuisha na Gamondi kupewa mechi 3 bado Viongozi wa Yanga wanatafuta mbadala wa Gamondi.

Taarifa zinaeleza mmoja wa viongozi wa Yanga hivi karibuni amesafiri nje ya Nchi kumfuatilia mbadala wa Gamondi.

Hata Gamondi mwenyewe anafahamu...

Najiuliza,
Gamondi amewapa mataji mengi Yanga kwa muda aliokaa
Gamondi yuko nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi akiwa nyuma kwa alama moja tu.
Gamondi ameipeleka timu hatua ya Makundi CAFCL

Kama huyu hafai...Yanga inapaswa kuwa na Kocha wa namna gani? Maana hata Pep anafungwa!

Hii inafikirisha sana...

✍️Sospeter IlagilaView attachment 3153023
Acha ujinga na kupotosha una mazivu ww
 
Mleta Mada acha U-Bogus


Kwamba Gamondi (mume wenu)alikuwa ni mwalimu Bora kuliko wote waliopita Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) asifukuzwe yeye ni mwanahisa pale Yanga?

Kwamba Gamondi (mume wenu) yeye hagusiki pale Yanga amekuwa nani?

Kwamba huyo Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya aachwe pale Yanga kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) pamoja na timu kufanya vibaya tangu kuanza Kwa msimu huu aachwe asifukuzwe kama nani?

Kwamba Gamondi (mume wenu) amekuwa akitofautiana na wachezaji tena kutukanana hadharani ila hamtaki afukuzwe,yeye nani?

Kwamba Gamondi (Mume wenu) pamoja na timu kushinda kimazabe mazabe hamtaki afukuzwe,yeye nani pale Yanga?

Kama hamjaridhika Mume wenu kutimuliwa pale Yanga,mfuateni alipo muungane naye!
 
View attachment 3153024


...Maisha ya Makocha wa Football kwenye Timu huwa hayategemei mafanikio uliyowapa huko nyuma bali mwenendo wa timu kwa wakati huo.

Maisha ya Makocha wa Klabu za Simba na Yanga huwa hayategemei rekodi uliyoiweka kwenye klabu bali kelele za Mashabiki na maamuzi ya viongozi kwa wakati huo.

Na hii ni kwasababu viongozi wa timu wanajua huwa wanashindaje hizo mechi...

Ndio maana Simba waliachana na Didier Gomes Da Rosa na Patrick Aussems walioweka alama kubwa kwenye mafanikio ya Simba Kimataifa hivi karibuni.

Ndivyo ilivyo hata kwa Master Miguel Gamondi wa Yanga

Licha ya vikao kuisha na Gamondi kupewa mechi 3 bado Viongozi wa Yanga wanatafuta mbadala wa Gamondi.

Taarifa zinaeleza mmoja wa viongozi wa Yanga hivi karibuni amesafiri nje ya Nchi kumfuatilia mbadala wa Gamondi.

Hata Gamondi mwenyewe anafahamu...

Najiuliza,
Gamondi amewapa mataji mengi Yanga kwa muda aliokaa
Gamondi yuko nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi akiwa nyuma kwa alama moja tu.
Gamondi ameipeleka timu hatua ya Makundi CAFCL

Kama huyu hafai...Yanga inapaswa kuwa na Kocha wa namna gani? Maana hata Pep anafungwa!

Hii inafikirisha sana...

✍️Sospeter IlagilaView attachment 3153023
Yanga ni wapumbavu
Sasa tunaenda mbele mwiko daima nyuma
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Kinachowauma simba hawajaambulia point hata moja kwa gamond. Walitamani sana walipe kisasi, ila ndo hivyo ameshatembea
Ila aibu sana mmefungwa na timu ya chini unatoa wapi ubavu wakuongea ongea hivyoo sisi Simba zaidi ya yanga hakunaga , watu wanaotufunga ovyo tena kama tabora tulieni vichwa nyie
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom