Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,604
Ni kuchunga tu usikirushe mbele unapotembea.
Mwinyi alimaliza Safari ipi? Unamaanisha kwamba alimaliza miaka 10 aliyostahili Kikatiba na kama ndivyo unadhani hii ndo hoja yangu?Mwinyi alikuwa kichuguu na Nyerere mlima lakini Mwinyi alimaliza safari. Kazi iendelee.
Hivi wewe unaweza kuvaa viatu vya mama yako au vya mke wako?embu jiongeze basi uelewe.Aliyepita ni alieyepita na huyu ni huyu ni watu wawili tofautiKwa hiyo,kwa kauli Yake kuwa Viatu vya Magufuli Ni vikubwa anamaanisha Magufuli alikuwa na uwezo Mdogo kulinganisha na yeye mama?
Wa kulaumiwa na kusubikuliwa ni mwendazake na waliotunga katiba. Mwendazake ndiye aliyemteua kuwa Makamu kwa kufuata katiba. Kama kuna lawama, pongezi, hongera au kusutwa hao ndio wanaopaswa kuzipokea. Mama yupo na atakuwepo hadi muhula wake utakapomalizika.Kula sumu aiseeee....usiione 2025!
Niko Tandale mkuu....Sawa. Wasalimie Denmark.
Sawa. Denmark kuna kitongoji kinaitwa Tandale pia.Niko Tandale mkuu....
Duuh 🤣 🤣Sawa. Denmark kuna kitongoji kinaitwa Tandale pia.
CopenhagenDuuh 🤣 🤣
Kiko mjini gani mkuu wangu?
Kwa kuwa wewe unakujua siwezi kukubishia kwani huko sikujui Wala sijawahi kufika labda iko siku Mungu Mwenyezi atanipa "doo" ya nauli ya huko.....Copenhagen
Mkuu tazama ulichokiandika kwanza... Jambo la msingi ni kudai katiba mpya haya mengine ni sawa na kujilisha upepo tu. Kama hakuna katiba ya maana hapawezi kuwa na tume huru za uchaguzi.Ili nisionekane nahangaika ulitaka nifanye niandike kitu gani? Hivi uliisikiliza hotuba ya huyo mgombea pekee mtarajiwa? Yeye anakiri hana uwezo wa kumfikia Marehemu Maguguli halafu wewe unasema Ni kauli tu ya kisiasa? Kwa hiyo, ili tuweze kumuelewa mama tuwe tunakuuliza wewe kwa kauli hii au ile alimaanisha nini?
Sawa. Endelea kuwahudumia wazungu.Kwa kuwa wewe unakujua siwezi kukubishia kwani huko sikujui Wala sijawahi kufika labda iko siku Mungu Mwenyezi atanipa "doo" ya nauli ya huko.....
Vyama makini mimi naamini vipo ila vinahujumiwa ili kuonekana sio makini. Vyama pinzani ni wale wananchi wasioafikiana na mambo ya Chama Tawala.14. CCM, mgombea wenu huyu ikiwa atakuwa wa pekee, mumefanya utafiti mtaani ni kweli anachagulika? Ni mgombea ambaye akishindanishwa na vyama vingine makini mnaweza kusema kwa dhati kuwa kweli atatoboa kabla hata Jogoo hajawika?Ni kwa nini hamumuelezi ukweli kuwa hachaguliki? mkuu wewe kwa uelewa wako ni chama gani kingine makini kwa sasa ambacho kinaweza kupambana na ccm ikiwa wao wenyewe watampigia kura kwa sababu wao ndio walitwambia anaupiga mwingi dhalimu ameondoka.
Njia pekee ya kuiondosha CCM ni madarakani ni vyama vya upinzani kuunganisha nguvu,na kuja na agenda mujarabu jinsi ya kutatua changamoto za watanzania kuliko hivi Sasa wanavyo dandia hoja nyepesi nyepesi zisizokua na mashiko kwa wananchi.Pia wachague ile mikoa ambayo ni ngome za CCM(mwanza,tanga,shinyanga,katavi na rukwa,Tabora,n.k wapeleke agenda zenye nguvu zinazoeleweka na wamachinga,boda boda,mama lishe,wakulima,wafanyabiashara,wasomi na wapiga kura wote kwa ujumla.Vyama makini mimi naamini vipo ila vinahujumiwa ili kuonekana sio makini. Vyama pinzani ni wale wananchi wasioafikiana na mambo ya Chama Tawala.