wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
- Thread starter
- #41
Wewe ndo inferior kwa kuogopa kutetea humanity.Inferior complex mind, kifo ni sifa moja wapo ya viumbe hai,
Unajiona una akili kwa kunijudge. Kumbe uwezo wako wa kufikiri upo inferior to the core. Na huna ulicho contribute kutetea human race. Ni rahisi kuponda content ya mtu kwa maneno machache. Lakini ni ngumu kumpinga mtu kwa fact na point.
Ushauri: ukitaka kupinga hoja. Andika kitu kirefu chenye maana watu wakuelewe. Sio mtu anaweka content yake unarusha maneno kama, "acha upumbavu" mara "wewe hujielewi".
Haikusaidii, inazidi kuanika inferiority yako. Na insecurity.