Tetesi: Inadaiwa UDOM imekosa hela za kulipa posho za wahadhiri

Posho au mishahara? Posho si lazima
Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.

Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.

Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.

Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
 
kumbe UDOM wanachuo wanalipa karo na Ada?
nilidhani ni Chuo cha Serikali
Wana lipa tena kuna coz tutition fee ni 1,700,000 kwa mwaka ndiyo ukute heslb hawakuangalii na home pako hovyo.
Chuo utakiona kizito maana kujibana ulipe ada sio mchezo boom la kungojea.
 
Ooh sawa mkuu sikuwa kufahamu humanities lakini ni kuzuri mnoo kama uko ulaya
Ndio jombaa nadhani kwa UDOM humanities na infomatics ndo kuna mpangilio mzuri sema ile humanities ya kitambo nasikia walipelekwa jamaa wa law na bussiness afu wale humanities wakapelekwa social
 
Ndio jombaa nadhani kwa UDOM humanities na infomatics ndo kuna mpangilio mzuri sema ile humanities ya kitambo nasikia walipelekwa jamaa wa law na bussiness afu wale humanities wakapelekwa social
Ni kweli totoz za humanities zinafuatwa na wala mema ya nchi 🤒
 
Ni kweli totoz za humanities zinafuatwa na wala mema ya nchi 🤒
Dah hatari man wajomba wamepiga kambi huko afu mbaya zaidi maofisi yao ya wizara bado yapo kwenye blocks za humanities mpaka sasa kwahyo wahuni wanakula mali tu kizembe😏😏
 
Dah hatari man wajomba wamepiga kambi huko afu mbaya zaidi maofisi yao ya wizara bado yapo kwenye blocks za humanities mpaka sasa kwahyo wahuni wanakula mali tu kizembe😏😏
Aiseee UDOM kumekucha mi nimepaacha enzi zile za kina Mlacha akiwa Deputy Councilor
 
Aiseee UDOM kumekucha mi nimepaacha enzi zile za kina Mlacha akiwa Deputy Councilor
Dah kwel kwel kitambo umetoka asee make mwenyewe nina mda sema Mlacha nadhani alikuja kupigwa chini na Magufuri ndo nadhani hadi akina prof Idris akapewa vitengo kitu kama kwenye wizara ya madini hivi
 
Dah kwel kwel kitambo umetoka asee make mwenyewe nina mda sema Mlacha nadhani alikuja kupigwa chini na Magufuri ndo nadhani hadi akina prof Idris akapewa vitengo kitu kama kwenye wizara ya madini hivi
Its like mi nimeondoka pale mbele yao kabisa 3 years past mpaka sasa.

Sema UDOM kutamu sana even maisha ni easy
 
Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.

Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.

Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.

Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
Pale udom kuna mwal mmoja anatakiwa apokee iyo posho hata mwakani mwez kama huu dadek, ningekua sio mtoto wa RPC sasa hivi ningekua natumia cheti cha form four
 
Kwel kwel sema hapo ntakuwa nlikuacha make ninazaidi ya miaka kama mitano hivi sema huwa naenda mara kwa mara huko
Kibiashara sio maana kule napo pako fresh hivi ule upande wa humanities kukoje now kuna kamtaa maana enzi zile kulipoa
 
Back
Top Bottom