Nchi ipo kwenye hali mbaya sana ni kwavile tu serikali za kiafrika zina usiri mkubwa na ubabe wenzetu walioendelea huweka wazi hali ya mambo. Nachoogopa tutakopa hadi hela za kulipa mishahara!Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.
Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.
Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.
Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
Hamna alitembea ila kuna kipindi maticha wamezingua kusimamia pepa kisa posho aliwajibu ujinga aseeProf mlacha bado yupo pale kwani??
😅😅 Ila dezo bhna na walivo wengi kila collegeHamna alitembea ila kuna kipindi maticha wamezingua kusimamia pepa kisa posho aliwajibu ujinga asee
Noma kwel jamaa walikomaa Chimwaga ila yule pimbi alitokea akasema usela wake mbona wajomba nyimbo walistisha na kikaeleweka🤣🤣😅😅 Ila dezo bhna na walivo wengi kila college
Basi mzee mwenda akafanya uteuzi wake mpya sijui huwa wanaendaga wapi walio tenguliwa.Noma kwel jamaa walikomaa Chimwaga ila yule pimbi alitokea akasema usela wake mbona wajomba nyimbo walistisha na kikaeleweka🤣🤣
Sjui asee yule jamaa aliingia wapi sema nlikuwa nasikia wana mahusiano mazuri na mzee wa MsogaBasi mzee mwenda akafanya uteuzi wake mpya sijui huwa wanaendaga wapi walio tenguliwa.
Aiseee basi mzee msoga amewafuta wengi machozi. Wengine pressure ziliwatikisa.Sjui asee yule jamaa aliingia wapi sema nlikuwa nasikia wana mahusiano mazuri na mzee wa Msoga
Ee man sema Mlacha ni kiumbe mwenye majivuno sijapata kuonaAiseee basi mzee msoga amewafuta wengi machozi. Wengine pressure ziliwatikisa.
Yule ni mpare so tegemea hilo na hulka yake, alikuwepo na Prof Msofe, pia Prof Kinabo.Ee man sema Mlacha ni kiumbe mwenye majivuno sijapata kuona
Dah bora Msofe ulikuwa ukienda utawala mkuu anaelewa kuna muhuni mwingine alikuwa anaitwa Dr Nyoni naskia sahivi ni prof ila yule pimbi alikuwa ana usela mwingi jamaa wa Humanities idara ya AMD wana habari zake nzurYule ni mpare so tegemea hilo na hulka yake, alikuwepo na Prof Msofe, pia Prof Kinabo.
Kama nishamsikia hivi 😏😏Dah bora Msofe ulikuwa ukienda utawala mkuu anaelewa kuna muhuni mwingine alikuwa anaitwa Dr Nyoni naskia sahivi ni prof ila yule pimbi alikuwa ana usela mwingi jamaa wa Humanities idara ya AMD wana habari zake nzur
Ee man yupo jamaa flani hivi mfupi mweupe alikuwa anafundsha TF naskia ndo dean wa Humanities sahiviKama nishamsikia hivi 😏😏
kumbe UDOM wanachuo wanalipa karo na Ada?Karo za wanafunzi huwa zinaenda wapi
mshahara unatosha ,wageuzeni hao wanafunzi kuwa marupurupu ya poshoTengeneza uzi wako kuhusu mishahara, huu ni uzi wa posho.
Cha msingi hata wewe umekubali kwamba UDOM haina hela na hilo limeonekana katika kudhulumu posho za wahadhiri.
Mbona hujui kuandika?Kwan ninlazm wafanye Kaz kwa posho mbna hawana huruma huku wanapokea mishahara kwawakti
bi hangaya anaupiga mwingi mpk una mwagika aisee