Tetesi: Inadaiwa UDOM imekosa hela za kulipa posho za wahadhiri

Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.

Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.

Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.

Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
Nchi ipo kwenye hali mbaya sana ni kwavile tu serikali za kiafrika zina usiri mkubwa na ubabe wenzetu walioendelea huweka wazi hali ya mambo. Nachoogopa tutakopa hadi hela za kulipa mishahara!
 
Noma kwel jamaa walikomaa Chimwaga ila yule pimbi alitokea akasema usela wake mbona wajomba nyimbo walistisha na kikaeleweka🤣🤣
Basi mzee mwenda akafanya uteuzi wake mpya sijui huwa wanaendaga wapi walio tenguliwa.
 
Tofauti na hiyo posho ya wahadhiri UDOM iundiwe tume kuna mambo mengi sana ya ajabu, ikiwezekena uundwe Uzi maalum kwaajili ya chuo kikuu cha Dodoma.
 
Yule ni mpare so tegemea hilo na hulka yake, alikuwepo na Prof Msofe, pia Prof Kinabo.
Dah bora Msofe ulikuwa ukienda utawala mkuu anaelewa kuna muhuni mwingine alikuwa anaitwa Dr Nyoni naskia sahivi ni prof ila yule pimbi alikuwa ana usela mwingi jamaa wa Humanities idara ya AMD wana habari zake nzur
 
Dah bora Msofe ulikuwa ukienda utawala mkuu anaelewa kuna muhuni mwingine alikuwa anaitwa Dr Nyoni naskia sahivi ni prof ila yule pimbi alikuwa ana usela mwingi jamaa wa Humanities idara ya AMD wana habari zake nzur
Kama nishamsikia hivi 😏😏
 
Tengeneza uzi wako kuhusu mishahara, huu ni uzi wa posho.

Cha msingi hata wewe umekubali kwamba UDOM haina hela na hilo limeonekana katika kudhulumu posho za wahadhiri.
mshahara unatosha ,wageuzeni hao wanafunzi kuwa marupurupu ya posho
 
Kwan ninlazm wafanye Kaz kwa posho mbna hawana huruma huku wanapokea mishahara kwawakti
 
Back
Top Bottom