PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Duh!!!Wewe ndio mke wake mpya baada ya kufariki yule?
Duh!!!Wewe ndio mke wake mpya baada ya kufariki yule?
Ohoooo!!!Morroco kule waislamu swafi kule Hamna pombe
Kwani mshahara hauingiiimazingira magum kvp au anasugua benchi?
Yule Mfalme wao unamjua ni mtu dizaini gani? Morocco mazaga yote yapo useme labda timu aliyopo inambana sana kwenda kujirushaMorroco kule waislamu swafi kule Hamna pombe
akvunja mkataba hivyo vipengele havifanyi kazi, anakuwa mchezaji huruMoja ya vipengele vya mkataba vinasema ndani ya miaka mitatu Chama akirejea Tz lazima acheze Simba au kipaumbele Cha kwanza ni kucheza Simba na si timu nyingine yoyote. Labda Simba iwe haina mpango naye.
Hivyo Hersi anawadanganya mashabiki wa Yanga km mazuzu huku akijua ni kitu ambacho hakiwezekani.
Mkataba wa Miquisone ni hivyo hivyo.