Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
la NamibJangwa la sahara au Kalahari?
la NamibJangwa la sahara au Kalahari?
kitoto cha malawi kirudi kwaoKwa mfano ikiwa ni kweli mchezaji yupi wa nje ataachwa ili Chama asajiliwe?
"BANDA IS A BLACK KALINYOS" . discuss.kitoto cha malawi kirudi kwao
Kwani nyie hamna jezi au timu yenu imeshuka ubora kaamua kuwatema kiaina, kama anaweza angesajili wachezaji wenye ubora baada ya kuwauza kina chama, alishindwa nini? Unauza wachezaji b.2.5 unaenda kununua wachezaji wa mafungu wa million Mia Mia, kwanini akutumia iyo b.2 kununua wachezaji 3 au 2 wenye ubora wa juu mpaka akasajili wachezaji 12 wote walikuwa wa nini?wanachokipitia gsm Sasa hivi Mo alifanya kwa ubora wake kabisa misimu sita iliyopita.....unadhani Nani bahili nyie mnafanyiwa hivyo sababu ya jezi na madela Ila katika kuspend gharib hawezi shindana na mo hata siku moja
Kisheria vipengere vya mkataba haviwezi kubakia vile vile wakati, yeye ndiye anataka kuvunja mkataba, kama ingekuwa timu yake ndio wanamuuza sawa, lakini ni yeye ndio anataka, hivyo ,Moja ya vipengele vya mkataba vinasema ndani ya miaka mitatu Chama akirejea Tz lazima acheze Simba au kipaumbele Cha kwanza ni kucheza Simba na si timu nyingine yoyote. Labda Simba iwe haina mpango naye.
Hivyo Hersi anawadanganya mashabiki wa Yanga km mazuzu huku akijua ni kitu ambacho hakiwezekani.
Mkataba wa Miquisone ni hivyo hivyo.
Wewe ndio mke wake mpya baada ya kufariki yule?Makubaliano na Jangwani Tayari Mkuu Au hufuatilii Mitandao kujua kinaendelea nini?
Tayari Kila Kitu kimekamilika na January anatua jangwani! Hawezi kurudi Simba Kaka
Kale katoto kwa ligi hii ya bongo yenye kungfu haiwezi."BANDA IS A BLACK KALINYOS" . discuss.
Hiyo mikataba nyie huwa munaionea wapi? Tupieni basi hapa nasi tuone,maana imekuwa story tu mkataba. Leteni kama ushahidi wa hivyo upo kwenye mikataba yao.Moja ya vipengele vya mkataba vinasema ndani ya miaka mitatu Chama akirejea Tz lazima acheze Simba au kipaumbele Cha kwanza ni kucheza Simba na si timu nyingine yoyote. Labda Simba iwe haina mpango naye.
Hivyo Hersi anawadanganya mashabiki wa Yanga km mazuzu huku akijua ni kitu ambacho hakiwezekani.
Mkataba wa Miquisone ni hivyo hivyo.
Wewe ndio mke wake mpya baada ya kufariki yule?
Umeumia sana msukule wwHuyu huyu shaffih dauda alisema Chama hawezi kurudi ligi ya bongo anamikataba mrefu RS Berkane. Leo huyuhuyu na page yake hii hii anapost kuwa chama anarudi Bongo???? KHUMANYOKHOOOOO ZAKE!
Jibu swali langu kwanzaUnaonekana Kichwani Huna Heshima wewe...
Nimekutukana Tusi Kubwa Kimoyomoyo*2
Kwa nn wachezaji wengine waweze yeye ashindwe? Jibu Uwezo mdogo mengine mbwembwe tu
Onyango au WawaKwa mfano ikiwa ni kweli mchezaji yupi wa nje ataachwa ili Chama asajiliwe?
Jangwa la sahara au Kalahari?
Mkuu kile kitoto kiko vizuri tukipe muda kuna kitu pale.kitoto cha malawi kirudi kwao