witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,096
Hahahaha nimecheka sana...Acheni kutunyanyapaa sie wenye hiv...ndio maana mnatufanya tuwaambukize kimakusudi nyie
Hahahaha nimecheka sana...Acheni kutunyanyapaa sie wenye hiv...ndio maana mnatufanya tuwaambukize kimakusudi nyie
Ndio ukweli huo nakwambia. Mnatukera sana nyie watu kwa kutunyanyapaa. Dawa yenu moja tuu. Tena uzuri warembo udhaifu wao ndalama tuu. 🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaha nimecheka sana...
Nimekubali wanawake wa makabila ya singida ni mashetani kwenye ndoa "hawafai kabisa"Habari za ndani kabisa zinasema:
1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa
2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID
3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.
4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.
5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake.
CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG
Pia soma > Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI
Wivu kaandikiwa mwanamke bibie, manaume yanakuwaga manunda hayajali sana kuhusu mke au demu ambaye yameshampitia.Hahahha Kim ana mbebez na yy bana waiii....hamna kubembelezana
Nimekubali wanawake wa makabila ya singida ni mashetani kwenye ndoa "hawafai kabisa"
Owning Beretta Px storm 9mmBullet proof haitolewi kama njugu...
Kiufupi huwezi ipata labda uwe Mtu mashuhuri, mfanyabiashara mkubwa, mwanasiasa mkubwa
Sasa we mtega mikono mwisho wa mwezi bproof hupati.
Ukileta upuuzi magazine 2 za barreta zinaishia mwilini mwako
Wenye msiba ni wazazi wa pande mbili na watoto wa marehemu wote wawili. Pesa huoa na kuua.😭Mwenye msiba ni mke mkubwa na watoto.
Mi Yangu iko na capacity ya risasi 10. Lkn zipo ambazo hutumia magazine ndefu kidogo nadhani zinaongezeka.Ebu waza, revolver kawaida ni risasi 6 , ina maana mume kwa hasira alifyatau bunduki risasi zote , ame reload na kufyatua moja zaidi -right in the head! Said alidhamiria kuuwa kweli.
Na Wewe una bastola?Mi Yangu iko na capacity ya risasi 10. Lkn zipo ambazo hutumia magazine ndefu kidogo nadhani zinaongezeka.
Unazosema ww ni zile za kizamani, hizi za kisasa zinakaa risasi za kutosha tu.
Mi mrangi namnyaturu natumia tu kama navyokula kitimoto. Siwezi kabisa kuoa labda niwe kaburiniUnaenda kuoa sijui Mnyiramba, Mnyaturu au Mrangi lazima utakuwa mwehu. Kuna siku nilikuwa na dada wa kirangi Dodoma nikaenda nae sokoni. Kuna mzee mmoja nae ni Mrangi akaniita na kuniambia huyo ndio mkeo nikajibu ndio. Akasema kijana achana na mwanamke wa Kirangi. Kumbuka huyo mzee ni mrangi nae.
Mnatumiaje mabastola ya kizamani hvo? Ni ubahili wa kununua za kisasa ama ni nini?Mi Yangu iko na capacity ya risasi 10. Lkn zipo ambazo hutumia magazine ndefu kidogo nadhani zinaongezeka.
Unazosema ww ni zile za kizamani, hizi za kisasa zinakaa risasi za kutosha tu.
Yes lkn kwa ulinzi wangu binafsi. Mbona kitu cha kawaida sana.Na Wewe una bastola?
Hahaah ya jamaa inatumia ile system ya zamani yaan unawezeka risasi moja moja kwenye rlover ukipress trger inazunguka hiviMnatumiaje mabastola ya kizamani hvo? Ni ubahili wa kununua za kisasa ama ni nini?
Safi sanaKuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Hapo ndio ujue damu ya mtu inanuka mkuu. Huwezi kimbia na ukawa na amani huko uendako.Alikuwa muoga ndiyo maana akajaribu kutoroka.
Alivyoona haiwezekani akaamua kujiua.
Jamaa ni muoga na mjinga.
Alishindwa hata kua na escape plan.