Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Habari za ndani kabisa zinasema:

1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa

2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID

3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.

4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.

5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake.

CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG

Pia soma >
Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI
Nimekubali wanawake wa makabila ya singida ni mashetani kwenye ndoa "hawafai kabisa"
 
Unaenda kuoa sijui Mnyiramba, Mnyaturu au Mrangi lazima utakuwa mwehu. Kuna siku nilikuwa na dada wa kirangi Dodoma nikaenda nae sokoni. Kuna mzee mmoja nae ni Mrangi akaniita na kuniambia huyo ndio mkeo nikajibu ndio. Akasema kijana achana na mwanamke wa Kirangi. Kumbuka huyo mzee ni mrangi nae.
 
Bullet proof haitolewi kama njugu...

Kiufupi huwezi ipata labda uwe Mtu mashuhuri, mfanyabiashara mkubwa, mwanasiasa mkubwa

Sasa we mtega mikono mwisho wa mwezi bproof hupati.

Ukileta upuuzi magazine 2 za barreta zinaishia mwilini mwako
Owning Beretta Px storm 9mm
 
Ebu waza, revolver kawaida ni risasi 6 , ina maana mume kwa hasira alifyatau bunduki risasi zote , ame reload na kufyatua moja zaidi -right in the head! Said alidhamiria kuuwa kweli.
 
Ebu waza, revolver kawaida ni risasi 6 , ina maana mume kwa hasira alifyatau bunduki risasi zote , ame reload na kufyatua moja zaidi -right in the head! Said alidhamiria kuuwa kweli.
Mi Yangu iko na capacity ya risasi 10. Lkn zipo ambazo hutumia magazine ndefu kidogo nadhani zinaongezeka.

Unazosema ww ni zile za kizamani, hizi za kisasa zinakaa risasi za kutosha tu.
 
Unaenda kuoa sijui Mnyiramba, Mnyaturu au Mrangi lazima utakuwa mwehu. Kuna siku nilikuwa na dada wa kirangi Dodoma nikaenda nae sokoni. Kuna mzee mmoja nae ni Mrangi akaniita na kuniambia huyo ndio mkeo nikajibu ndio. Akasema kijana achana na mwanamke wa Kirangi. Kumbuka huyo mzee ni mrangi nae.
Mi mrangi namnyaturu natumia tu kama navyokula kitimoto. Siwezi kabisa kuoa labda niwe kaburini
 
Mi Yangu iko na capacity ya risasi 10. Lkn zipo ambazo hutumia magazine ndefu kidogo nadhani zinaongezeka.

Unazosema ww ni zile za kizamani, hizi za kisasa zinakaa risasi za kutosha tu.
Mnatumiaje mabastola ya kizamani hvo? Ni ubahili wa kununua za kisasa ama ni nini?
 
Kuna demu mmoja pisi kali wa kizenji nlikua naye miaka ya nyuma Zenji kuna siku kaja gheto akaanza kuniletea drama za kunisifia baadae akachomekea mdogo anaumwa kwa hiyo hatokuja atalala naye kwake, machale yaka ncheza kwa zile sifa alizonimwagia, nikaamka mida kama ya 5 usiku nikamnyatia hadi kwake dirishani nikamchungulia nikakuta kavaa night dress na bikini anaangalia bongo star search, akapokea simu ya njemba inakuja inataka ifungiliwe geti izame mi nikabonyea jamaa kaja mpaka mlangoni geti likafunguliwa akazama nikarudi tena dirishani nikamchek jamaa kakaa kitandani anaomba maji aoge dah nikasema huyu kum ..a kumbe ndio mishe zake mapigo ya moyo yalienda mbio nikatamani kuzikunja nondo ni zame ndani.... nikaona nikiondoka bila kumstua kua nimeona kila kitu kesho atakataa nikamwita akaitika nikamwambia nimekuja kumwona mgonjwa akakimbilia getini akaniambia mgonjwa amelala nikamwambia acha ukum..a nimeona kila kuanzia kesho tusitafutane nikasepa..cha ajabu yule mzenji akawa bado analilia anaomba msamaha nikaona sio issue huyu ngoja nimchukulie kama malaya nikaanza kumla tako akazidisha wivu nika wabandua shoga zake wanne lkn wapi haniachi akanipa mln 3.5 ni mnunulie kiwanja ili awe karibu namie hadi leo nikimuhitaji anakuja namfanya matusi anasepa hawa mademu sio kuwa nao serious sana utaua au kujiua bure
Safi sana

Huo ndiyo uamuzi mzuri ulioufanya

Dah mzee ulimla jicho haha

Ova
 
Back
Top Bottom