Tonyblair
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 424
- 426
daah umenifanya nicheke sanaaaaKama ni karibu na ofisi za chama msijali, kwani kuna tatizo wanachama kutembelea makao makuu yao?
daah umenifanya nicheke sanaaaaKama ni karibu na ofisi za chama msijali, kwani kuna tatizo wanachama kutembelea makao makuu yao?
Umeelewa maneno ya Murilo au umekurupuka tu ?Hii n
Hii ni taarifa ya uongo.Hakuna ujambazi.Kuna majirani wametishiana bastola
Taarifa rasmi inasema hakukuwa na ujambazi mkuuUmeelewa maneno ya Murilo au umekurupuka tu ?
Noma sanaawafuasi wa Mbowe lazima watashangilia, na huu ndio ushahidi tosha kuwa mbowe aliwafundisha na kuwajenga wafuasi wake kuwa na vitendo vya kihalifu na kushangilia uhalifu unapo tokea au kutendeka.
mifano mingine;
1 Mboe na genge lake walifurahia sana baada ya kifo cha Hayati JPM.
2. walifurahia sana baada ya askari 3 kuuwawa na Gaidi Hamza.
hili genge la mboe linapaswa lifuatiliwe kila kona.
Genge au wafuasi wa mboe kuna wauza madawa ya kulevya, majambazi, wavuta bangi na kila aina ya takataka, yaani wana uhusiano na kila aina ya uhalifu.
Wale vijana wawili anaowachunguza wamekosa nini ?Taarifa rasmi inasema hakukuwa na ujambazi mkuu
Mkuu wa Jeshi la Polisi ajitathiminiTaarifa kutoka Kitenge TV zinaeleza kwamba kuna tukio la ujambazi Mtaa wa Lumumba , ambapo silaha za moto zimetumika .
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde....
View attachment 2035855
Walipanda juu wakaenda kwa nyumba ya mmama mmoja.Mmama hakuwatambua na akapiga mayowe na mbiu.Jirani wa mama akatoa bastola na kufyatua risasi tatu mbinguniWale vijana wawili anaowachunguza wamekosa nini ?
Inaonekana wazi unaroho mbaya sana ya kishetani. Inamaana mtu akiwa kinyume na chama cha ccm tayari ni mhalifu?umenena mkuu.
vyombo vya ulinzi na usalama wanapaswa wafahamu kuwa genge la mbowe ni la kihalifu.
na baadhi ya wafuasi wake na wahalifu.
Tafiti hiyo aliifanya Mnyika au wewe?ili iweje , hivi unajua wafanyabiashara wakubwa wengi ni Chadema ?
CDM ni chama cha wachaga.Wewe ni mpuuzi sana.
Ujambazi una nasaba na Ccm siyo Cdm.
Sasa na hao wasio wachaga na wapo chadema wanafanya nini? kama chadema ni chama cha wachaga?CDM ni chama cha wachaga.
Na itakuwa we huwajui vizuri wachaga
Bora hata hao wachaga si kwa ufisadi wa wana CcmCDM ni chama cha wachaga.
Na itakuwa we huwajui vizuri wachaga
Kuhusu mkataba wa ajira serikalini, hakuja kitu Kama hichoI would suggest under new constitution:
-Raisi asiwe mwenyekiti wa chama kuepusha kujikita na interest za chama kuliko taifa na kuvua watu uanachama kwa kukomoa.
-Budget ya bunge isitegemee serikali.
-baraza la mawaziri litoke kwa wananchi.
-wabunge kwa wananchi.
-Tume ya uchaguzi isiwe appointed na rais.
-Watoto wa wastaafu wawe banned kushika nafasi influential za serikalini kama urais, uwaziri atleast waishie kwenye ubalozi labda na hii si kwa ubaya bali kwa manufaa ya umma. Kwa kampuni binafsi wako free kuwa hata wakurugenzi.
-Ajira za serikalini ziwe za mkataba wa 3-5 years huku maslahi yakiboreshwa ili watu wakipata uzoefu warudi kujiajiri. Mikataba iwe extended kulingana na utendaji kama mtu ana perform aongezewe muda.
-Raisi aweze kufunguliwa mashtaka na wananchi direct bila approval ya DPP.
Misukule ya wachagaSasa na hao wasio wachaga na wapo chadema wanafanya nini? kama chadema ni chama cha wachaga?