Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,711
- 2,494
unataka kusema Tanzania hii leo hii ni kama mtaa hadi mtu atoke na gari ww umuone? Leta uthibitisho kuwa vile vitu ni mzigo wa duka la mtu? Kama dogojanja tu ana stock ya kutosha nguo na viatu itakuwa kwa diamond?Km yule wa kuonyesha viatu na nguo....kumbe ni mzigo wa dukani wa mshkaji.
Sasa km anadanganya vitu vidogovidogo km nguo na viatu , vipi kuhusu nyumba za kifahari South Africa?
..hajawahi onekana popote nchini akiwa misele na RR...
Wasanii wa kibongo wanazidiana ku-fake maisha tu
Ukitaka kujua wana njaa ngoja zianze kampeni za CCM.....