Inadaiwa Freeman Mbowe azuiliwa kupewa chakula akiwa mahabusu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,983
By Godbless Lema kupitia twitter:

"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."

Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:

"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
 
By Godbless Lema kupitia twitter:

"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."

Also by Martin Maranja Masese kupitia twitter:

"Freeman Mbowe ni mahabusu, sio mfungwa, na kuna utaratibu wa kuwapa mahabusu chakula kutoka nje ya gereza haswaa weekends. Leo watu waliopeleka chakula gereza la Ukonga kwa Freeman Mbowe wamezuiwa, na wanasisitiza ni amri kutoka juu. Mambo ya hovyo yanaendelea kufanyik."
Lema ataacha lini siasa za TAHARUKI zisizomsaidia?!!!!

Aendelee tu KUBWABWAJA huko UGHAIBUNI.....
 
Chadema wakati mwingine mtulie na kutafakari.Chakula kililetwa na nani?Sio kila mtu akileta chakula kitapokelewa kwa mtu mkubwa kama yule
 
inawezekana Mbowe kaonewa au hajaonewa...ni siri baina yake na dola lakini pia haki itaamua iwe mahakama au otherwise..

Hawa wengine waache kutafuta attention na umaarufu kupitia Mbowe kuwa mahabusu, wanaojua taratibu za kumpelekea mfungwa au mahabusu chakula sidhani kama kuna issue yeyote...kama wahusika nia yao ni kumdhuru Mbowe wana njia nyingi kuliko hii ya kumnyima chakula Lema atulie Canada aache kutafuta umaarufu..
 
By Godbless Lema kupitia twitter:

"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ."...
Lema ameolewa huko aache kelele

USSR
 
By Godbless Lema kupitia twitter:

"Tuna fuatilia kwa makini kitendo cha Familia ya Mkti Freeman Mbowe kuzuiwa kumpatia Mkti chakula kwa kuwa kuna maelekezo kutoka juu ...
Wewe ni mtafuta kiki za kijinga. Huna mvuto tena kisiasa acha kuzusha taharuki. Hebu rudi nyumbani umejitafutia ukimbizi wa sifa
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom