Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 735
- Thread starter
- #21
Ooooh kumbeKrav maga the best
Ooooh kumbeKrav maga the best
Ntajitahidi mkuuHuo mchezo huna mahaba nao na utaacha mwanzoni tu...hujaanza ..ushaanza kuuliza muda wa kumaliza....inaonekana umeingia kwa mihemko.. Trust me utaacha mapema na hutajua lolote
Thread 'Nilicheza karate mpaka alinitokea babu wa kichina akawa ananinoa usingizini' https://www.jamiiforums.com/threads/nilicheza-karate-mpaka-alinitokea-babu-wa-kichina-akawa-ananinoa-usingizini.1766871/Ungetuma link ya huo Uzi ingekuwa powa mkuu.. tupate fwaida
Nilicheza karate mpaka alinitokea babu wa kichina akawa ananinoa usingiziniUngetuma link ya huo Uzi ingekuwa powa mkuu.. tupate fwaida
Hili Ni jibu tosha kabisaNgumi au Self Defense ni umakini wako tu yani ukiwa makini tu bila hata ya Mafunzo yoyote yale unaweza kujilinda vizuri tu, maana kule Hawakufundishi namna ya kuwa makini na adui ila wao wanakufundisha namna ya kurusha ngumi, kurusha teke, namna ya kupangua mashambulizi, jinsi ya kusimama n.k kwahyo wewe kama umezubaa hata kama una black belt unaweza ukagongwa vizuri tu na mhuni wa kitaa anayejiamini! Na asikudanganye mtu likitokea Vagi hautakumbuka chochote kile sijui nirushe ngumi hivi au vile au sijui nisimame hivi yani adui hakupi nafasi ya kuanza kurevise ulichofundishwa kwahyo Self Defense ni Umakini wako wewe mwenyewe mwili wako unatakiwa tu kuwa na utayari, hizo nyingine mbwembwe tu movie zisiwadanganye yale matukio yamepangwa
inafundishwa wapi hii wakuu nikajiunge..?Maana Gojuryu na Shotokan nimepiga japo juu kwa juu ila nmevutiwa na Krav Maga.Hiyo Krav Maga ni hatari sana, kwa asilimia kubwa inafundisha kuua tu, na hata mwanafunzi awapi mafunzoni anatakiwa kuwa makini sana.
Urongo mtupuNgumi au Self Defense ni umakini wako tu yani ukiwa makini tu bila hata ya Mafunzo yoyote yale unaweza kujilinda vizuri tu, maana kule Hawakufundishi namna ya kuwa makini na adui ila wao wanakufundisha namna ya kurusha ngumi, kurusha teke, namna ya kupangua mashambulizi, jinsi ya kusimama n.k kwahyo wewe kama umezubaa hata kama una black belt unaweza ukagongwa vizuri tu na mhuni wa kitaa anayejiamini! Na asikudanganye mtu likitokea Vagi hautakumbuka chochote kile sijui nirushe ngumi hivi au vile au sijui nisimame hivi yani adui hakupi nafasi ya kuanza kurevise ulichofundishwa kwahyo Self Defense ni Umakini wako wewe mwenyewe mwili wako unatakiwa tu kuwa na utayari, hizo nyingine mbwembwe tu movie zisiwadanganye yale matukio yamepangwa
Hiyo ya sanaa ya mapigano iliyotumika katika movie ya Ong Bak ya Tony Jaa inafahamika kama Muay ThaiKick boxer ndo napenda nipige vifuti kama ONG BAK(Tony jaa)
Jidanganye...jidanganyeNgumi au Self Defense ni umakini wako tu yani ukiwa makini tu bila hata ya Mafunzo yoyote yale unaweza kujilinda vizuri tu, maana kule Hawakufundishi namna ya kuwa makini na adui ila wao wanakufundisha namna ya kurusha ngumi, kurusha teke, namna ya kupangua mashambulizi, jinsi ya kusimama n.k kwahyo wewe kama umezubaa hata kama una black belt unaweza ukagongwa vizuri tu na mhuni wa kitaa anayejiamini! Na asikudanganye mtu likitokea Vagi hautakumbuka chochote kile sijui nirushe ngumi hivi au vile au sijui nisimame hivi yani adui hakupi nafasi ya kuanza kurevise ulichofundishwa kwahyo Self Defense ni Umakini wako wewe mwenyewe mwili wako unatakiwa tu kuwa na utayari, hizo nyingine mbwembwe tu movie zisiwadanganye yale matukio yamepangwa
Ukifululiza kuonewa sana Mtaani, Kuporwa Demu au Mke na Kuandamwa kwa Kukabwa na Vibaka inachukua muda mfupi mno Kuujua huo ( huu ) Mchezo.Hapa ni kwa wale wajuzi wa mambo ya MARTRIAL ARTS.
Nimedhamiria kuingia mazoezini kwa mwanangu mmoja hivi kwa ajili ya kupata mbili tatu kuhusiana na mchezo huu wa ngumi.
Swali langu ni je, naweza kuchukua muda Gani kuwa fit katika hili?
Sina maana kwamba sijui niwe na mkanda mweusi, sijui wa njano (NO)
mi nahitaji kujua self-defence tu lakini kwa kiwango kizuri.
Swali la nyongeza.
Ni mchezo gani mzuri zaidi kwa ajili ya self defence?
NAWASILISHA
Na pia haikuwa Muay Thai ilikuja kuitwa hivyo baada ya wao kuhitaji mchezo kwa ajili ya mashindano na kuondoa kabisa techniques ambazo zilikuwa kwa ajili ya kuua adui vitani awali ilijulikana kama MUAY BORAN.Hiyo ya sanaa ya mapigano iliyotumika katika movie ya Ong Bak ya Tony Jaa inafahamika kama Muay Thai
Upo sahihi mkuu.Na pia haikuwa Muay Thai ilikuja kuitwa hivyo baada ya wao kuhitaji mchezo kwa ajili ya mashindano na kuondoa kabisa techniques ambazo zilikuwa kwa ajili ya kuua adui vitani awali ilijulikana kama MUAY BORAN.
Hii wa Thailand waliitumia katika vita kupambana na adui na kwa sasa ni vijijini sana ndo kuna mabaki ya wataalamu wake ambayo huyo Tony Jaa baba yake pia aliwahi kuicheza na kumpa vitu yeye pia.
Ukiifuatilia vizuri kuna techniques humo zinahusu wanyama kama Mamba, Nyani, Tembo, Nyati n.k
Bongo hii mtu akikwambia kaicheza na yupo fiti huyo muongo. Hiyo ni Traditional Martial Art ambayo ili uwe fiti ni lazima ufundwe kule kule na wenyewe kwanza siyo kuangalia you tube tu kuna matambiko yake pia.