Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,427
- 37,635
Kwa mujibu wa TCCAA sababu kubwa iliyopelekea kusitishiwa Leseni ni deni la bil.6 inalodaiwa na wadeni wake.
Naomba kuuliza kwa mnaofahamu , hivi ATCL iliwalipa kwanza wadeni wake ndo ikaruhusiwa kuanza safari? Au kinachosikika kwa baadhi ya watu kwamba serikali imeanzisha mmiliki tofauti wa ndege mpya na kujifanya kukodisha kwa ATCL?
Kama shirika la serikali nalo linadaiwa tena zaidi ya hao Fastjet, je, ikisemwa sababu halisi siyo deni bali kubinya wapinzani wa ATCL ibaki peke yake sokoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza kwa mnaofahamu , hivi ATCL iliwalipa kwanza wadeni wake ndo ikaruhusiwa kuanza safari? Au kinachosikika kwa baadhi ya watu kwamba serikali imeanzisha mmiliki tofauti wa ndege mpya na kujifanya kukodisha kwa ATCL?
Kama shirika la serikali nalo linadaiwa tena zaidi ya hao Fastjet, je, ikisemwa sababu halisi siyo deni bali kubinya wapinzani wa ATCL ibaki peke yake sokoni?
Sent using Jamii Forums mobile app