Inabidi tuisaidie serikali kwa kujichangisha wananchi

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Tujichangishe wananchi hata kama tunalipa kodi still its obvious mapato wanayopata hayatoshelezi mahitaji ya wananchi.

Wizara kama afya, elimu etc hazitakiwi kubanwa kisa budget ndogo. Eti watoto warudi/wabaki nyumbani kisa wamekosa mkopo kusoma vyuoni?! Na sisi tunaridhika kabisa? Wanaopata mkopo ni wachache ku make impact yoyote.

Tukipitisha harambee idadi kubwa ya watoto watapata education na tutasonga mbele kama taifa.


Becky
 
Ungejua kodi tunazo lipa hizi
Nashangaa inakuwaje jamaa wanshndwa kuendeleza serikali. Kila unakofanya kodi kwanza, ila sasa huduma za serikali mbovuu.
Sjui Rais JK aliendeshaje nchi wajat alikuwa anakusanya less kodi.
 
Tujichangishe wananchi hata kama tunalipa kodi still its obvious mapato wanayopata hayatoshelezi mahitaji ya wananchi.....................

....wizara kama afya, elimu etc hazitakiwi kubanwa kisa budget ndogo.....

...eti watoto warudi/wabaki nyumbani kisa wamekosa mkopo kusoma vyuoni...?!!

....na sisi tunaridhika kabisaa??

...wanaopata mkopo ni wachache ku make impact yoyote..............

....tukipitisha harambee ,idadi kubwa ya watoto watapata education....na tutasonga mbele kama taifa....................

...Becky
Mimi siwezi kuchangia hata shilingi moja....wakati serikali inapata hela yakurudia Uchaguzi...Just Imagine uchaguzi wa diwani mmoja unacost Mil:100.

Dawa ni tarh 26/04
 
Ungejua kodi tunazo lipa hizi
Nashangaa inakuwaje jamaa wanshndwa kuendeleza serikali. Kila unakofanya kodi kwanza, ila sasa huduma za serikali mbovuu.
Sjui Rais JK aliendeshaje nchi wajat alikuwa anakusanya less kodi.

hizo kodi hazitusaidii zipo kwenye makaratasi yao,unaskia tu uchumi umekua ilhali hali za wananchi zina dorora kila siku,something fishy is going on,nahisi mkuu wa nchi anadanganywa...............anyway we should take the matter in our hands...
 
Tujichangishe wananchi hata kama tunalipa kodi still its obvious mapato wanayopata hayatoshelezi mahitaji ya wananchi.....................

....wizara kama afya, elimu etc hazitakiwi kubanwa kisa budget ndogo.....

...eti watoto warudi/wabaki nyumbani kisa wamekosa mkopo kusoma vyuoni...?!!

....na sisi tunaridhika kabisaa??

...wanaopata mkopo ni wachache ku make impact yoyote..............

....tukipitisha harambee ,idadi kubwa ya watoto watapata education....na tutasonga mbele kama taifa....................

...Becky
Juzi Mh raisi akiwa Singida amesema serikali ina hela nyingi sana za kutosha miezi mitano. Na haijawahi tokea tangu kuumbwa Tanzania. Sasa unaposema tuchangie sikuelewi unataka tuchangie kitu gani wakati hela zipo tu hazina kazi
 
hizo kodi hazitusaidii zipo kwenye makaratasi yao,unaskia tu uchumi umekua ilhali hali za wananchi zina dorora kila siku,something fishy is going on,nahisi mkuu wa nchi anadanganywa...............anyway we should take the matter in our hands...
Tatizo ni kuwa serikali haijui ku set priority
Asa wananunua ndege na wanajenga uwanja wa ndege chato, wana hamia dodoma etc hivi ukifanya yoote hayo kwa wakat mmoja utawekezaje kwenye mambo ya msingi
 
Juzi Mh raisi akiwa Singida amesema serikali ina hela nyingi sana za kutosha miezi mitano. Na haijawahi tokea tangu kuumbwa Tanzania. Sasa unaposema tuchangie sijuelewi unataka tuchangie kitu gani wakati hela zipo tu hazina kazi

hata wewe mkuu,unaisikiliza serikali ambayo inasema uchumi unakua wakati watu hawaoni unafuu wowote???...tuchukue majukumu ya kuikuza jamii yetu,ukisusa au ukiweka lawama kwa serikali haisaidii chochote................
 
Tatizo ni kuwa serikali haijui ku set priority
Asa wananunua ndege na wanajenga uwanja wa ndege chato, wana hamia dodoma etc hivi ukifanya yoote hayo kwa wakat mmoja utawekezaje kwenye mambo ya msingi

Ni kweli mkuu kujenga Chato sidhani amewasaidia wana Chato ni bora hata angenzisha mradi wa kilimo na kuhakikisha watu wa Chato wanapata maji ya kilimo lol.................anyway ndio maana nimeona tukiisubiria serikali tutaangamia,..vitu vingine tujifanyie wenyewe
 
Utawala Wa hawa jamaa Hata mlipe kodi Vp bado kodi ikatayopatikana hauta tumika ipasavyo ......twendeni nao hivi hivi tu

Ova
 
Tujichangishe wananchi hata kama tunalipa kodi still its obvious mapato wanayopata hayatoshelezi mahitaji ya wananchi.

Wizara kama afya, elimu etc hazitakiwi kubanwa kisa budget ndogo. Eti watoto warudi/wabaki nyumbani kisa wamekosa mkopo kusoma vyuoni?! Na sisi tunaridhika kabisa? Wanaopata mkopo ni wachache ku make impact yoyote.

Tukipitisha harambee idadi kubwa ya watoto watapata education na tutasonga mbele kama taifa.


Becky
Mmesahau uchaguz wa marudio ya udiwan na ubunge unavyokula ela ? Au mnataka kwa ajili ya kununulia madiwan na wabunge? C naskia kuna diwan wa kule kakonko anatakiwa anunuliwe?
 
Mmesahau uchaguz wa marudio ya udiwan na ubunge unavyokula ela ? Au mnataka kwa ajili ya kununulia madiwan na wabunge? C naskia kuna diwan wa kule kakonko anatakiwa anunuliwe?

mkuu siwezi kukubadili mtazamo wako,lakini hii ya kununua upinzani siiafiki,serikali ina matatizo kibao yanayohitaji pesa,sidhani kama ina lengo la kununua upinzani!besides nimesema tujichange kama sisi hatutaiweka serikali iwe involved.Naona wengi wenu mnadhania tunaisaidia serikali,lengo la mada hii ni kijikomboa wenyewe bila kuihusisha serikali.
 
Ni kweli mkuu kujenga Chato sidhani amewasaidia wana Chato ni bora hata angenzisha mradi wa kilimo na kuhakikisha watu wa Chato wanapata maji ya kilimo lol.................anyway ndio maana nimeona tukiisubiria serikali tutaangamia,..vitu vingine tujifanyie wenyewe
Hahahaha
Ukisema ufanye hivo magufuli atasema unaleta siasa kwenye maendeleo
 
Kila nikifatilia post na michango yako napata mashaka na aina ya kazi unayoifanya- sio shushushu kweli ww!!?
 
Back
Top Bottom